Jiwe la chumviKwani sasa hivi kawaje mkuu...?
Jamaa ni kati ya wanafiki waliowahi tokea katika historia ya duniaUnamaanisha kuwa alikuwa anaigiza mkuu...?
wewe huoni zille 1.5 trillion alivozipotezea angeonyesha uzalendo hapo sasaAiseee...!
JF ina viumbe perfect kabisa. Ila dunia ndio imejaa wanafiki,vilaza,wajinga,wazembe
Ndio kwenye mawingu.Kumbe JF inapatikana nje ya dunia mkuu...?
Ila unafki utabaki kuwa unafki tu hata ukiigiza vipi kama ni mnafki basi unafki utaonekana tu hata ufichwe vipi mkuu.
Ahsante.