Huu ndio mtandao unaoimiliki Simba Trust!!

Kwa TSN supermarket na UDA sio kweli.
Ukweli ni upi ? Hii Simba Trust wakati wa sakata la Escorow mtoto wa Mkwere huyu anayependa kukaa Kinondoni na mateja au Coco Beach na kina Suma Lee alitajwa ,hili la Uda toto lingine la mkwere nene nene hivi lilitukana watu wakati wa uchaguzi nae anatajwa kama mmoja sijui wa wamiliki au mkurugenzi blah blah blah
 

Ndio mabingwa wa kuvuruga chaguzi kwa matokeo feki kutoka kwa team yao ya marope.

Maana EL anayajua yote haya vizuri; asingewezapenya, heri punda afe mzigo ufike kuliko hili genge kutundikwa kisheria.

Namshangaa uchwara anashughulika na mkataba wa TICS huku nchi inateketea akijua moto unatoka wapi.
 
Mleta mada ni mnafiki sana. Nyie mnatumia hisia badala ya kuweka documents. Sasa mnamsakama JK wakati huo huo mnasema alikuwa rais bora, so which is which?? Mwacheni JK apumzike!
Mwizi mwenzio haguswi na serikali aliyoiweka madarakani
 
Misijui mkuu...
Ebu sivute sikio...[emoji101]
sijui kuhusu simba trust,
ila trust company ni kama wewe una mali yako hutaki kuiendesha unatafuta kampuni inakuendeshea kampuni yako kwa kila kitu,it means responsibility yote ya management inakuwa juu ya Trustee,wewe unakuwa huhusiki.
Sasa trust company si kitu cha ajabu tena kuna wakati ilitolewa amri kuwa viongozi wanaofanya biashara wajitoe katika biashara ili wafokasi zaidi katika kazi,ilitakiwa either uuze biashara yako,ufunge ama ukabidhi watu wakuendeshee,kwamaana sasa hapo Trust company ndo inaingia.
So sijui kuhusu simba trust pengine ni kampuni inayomanage biashara za watu mbalimbali.
Ila tena inaonekana hiyo kampuni haipo toka mwaka 2010,sasa mleta mada atakuwa anajitungia
 
Hatari sana, hii vita ya ufisadi kutoka kwa JPM ni unafiki tu.
 
Daaah, kama ni kweli inauma sana kaka.
 
Mzee 400 milioni za TANESCO wanalipwa kila siku hazikuumi? Lazima una ngozi ya jiwe.
 
Hizo Huduma za Hisani ni ile kitu inaitwa kutakatisha fedha 'Money Laundry "Ndio mkakati walio nao kwa sasa
 
We muongo sana.Kuna baadhi ya vitu navifahamu humo vyote umeongopa.Acha utoto
Wewe ongea ukweli unaoujua...ukijua huu wenzako wanajua uleeeeeee....usisahau lele na lele ndio mwanzo wa wimbo
 
Shikamoo mkuu
Huu mziki sijui kama msukuma mwenzangu atauweza maana ni ngumu kumeza kweli kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…