Huu ndio mtandao unaoimiliki Simba Trust!!


Lowassa vp hayupo katika iyo list,si wanasema fisadi,,,maana kila wanaokamatwa au kutajwa kwa ufisadi,jina lake silioni katika list ,,,zaidi ya watu wa Lumumba tu kumshutumu kuwa ni fisadi
 
Lowassa vp hayupo katika iyo list,si wanasema fisadi,,,maana kila wanaokamatwa au kutajwa kwa ufisadi,jina lake silioni katika lost,,,zaidi ya watu wa Lumumba tu kumshutuma kuwa ni fisadi
Unajua kuna utajiri na ufisadi wa kutajirika ................

I wish umenielewa.......
 
Nilikuwa najengaga picha tu mama au chain nilizokuwa nikizijua hazikuwa strong hivi.
Hii ni super,amazing!
Nilikuwa najengaga picha tu mama au chain nilizokuwa nikizijua hazikuwa strong hivi.
Hii ni super,amazing!
Nilikuwa naongea na mudawote ila huyu ame amenivuruga. Yeye anafikiri natetea mafisadi. Fisadi yeyote siyo atumbuliwe bali apelekwe kwa Pilato. Fisadi namba wani kwa watanzania asilimia sijui 60s% waliompigia kura Dr. Pombe wanasema Lowasa ni Fisadi. Apelekwe leo hata usiku huu. Wote tunataka kujua ukweli. Hata hao waliompigia kura akashindwa wanataka kujua kuwa wangempa kura fisadi wa aina gani. Leo siyo kesho kama alivyopelekwa mwalimu wa chuo Mbeya na wale wengine na akina Lisu. Kwani Lisu ana makosa ya kutisha kuliko Lowasa aliyeifilisi nchi hii. Lowasa ndani kuanzia kesho ili tujue kwaniniu watu walimpigia kura na kwa nini bungeni wakati jina lake limekatwa wabunge waliimba kuwa wana imani naye????
 
Mbona sijaona ushahidi wa haya maelezo yote humu?nahisi harufu ya chuki+wivu wa kisichana.
Watu wenye akili , zisizoweza kuchambua mambo kama wewe na zinazongojea kufanyiwa kila kitu ni wengi Tanzania. Halafu watu wa sampuli yako huwa wakivamiwa na mbakaji hawajitetei bali wanasubiri mpaka amalize ndpo wapate ushahidi.
 
Sasa utaelewa ni kwanini nguvu kubwa ilitumika kumzuia Lowassa kwenda Magogoni......
 
Mkuu....
Hapo kwenye # 5, sijaelewa tafadhali fafanua kidogo
 

Hakyamungu we utakuwa sio mzima kichwani,,yaan ubongo wako umejaa siasa tu,,,we hata jambo la maslai ya Taifa we unakadhana na chadema tuuu,,,kuna mtu chadema alikupiga Paipu bila kutumia kilainishi nini
 
Wewe mtoa siri umeshindwa kuwataja ila unataka rais awashughulikie. Je, akikujumuisha na wewe kwenye ilo kundi atakuwa amekuonea?
 
We muongo sana.Kuna baadhi ya vitu navifahamu humo vyote umeongopa.Acha utoto
Labda na wewe ungeongezea unachokijua
Alafu ukimaliza na kutuma salamu kwa ndugu jamaa na marafiki wote
 
Rais wetu hashughuliki na porojo. Ana deal na reality.

Ila kwakuwa hizo ni porojo tu, hana muda nazo. Yuko bize kutekeleza ahadi!
 

Khaa nyie watu mbona kuna fisadi baba lao mnalo kwenu na mmeweza kuishi nalo na mnaendelea kulitetea mpaka leo?
 
Hakyamungu we utakuwa sio mzima kichwani,,yaan ubongo wako umejaa siasa tu,,,we hata jambo la maslai ya Taifa we unakadhana na chadema tutu,,,kuna mtu chadema alikupiga Paipu bila kutumia kilainishi nini
Kumbe hujamshtukia huyo?Wenzio tulishaamua kuachana nae.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…