Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 28,027
- 52,501
Siku za karibuni nimegundua gesi inaisha haraka Sana nyumbani
Wakati matumizi ni Yale Yale na watu ni wale wale
Sasa Leo nimenunua
Nimefunga Tu mshale unasoma hivo
Hii ni sawa wakuu??
Maana kwenye bili za maji ndo usiseme
Naona kama watanzania tunaonewa kila mahali jamani.
Wale wataalamu naombeni majibu Kwanza kabla sijachukua hatua.
Wakati matumizi ni Yale Yale na watu ni wale wale
Sasa Leo nimenunua
Nimefunga Tu mshale unasoma hivo
Hii ni sawa wakuu??
Maana kwenye bili za maji ndo usiseme
Naona kama watanzania tunaonewa kila mahali jamani.
Wale wataalamu naombeni majibu Kwanza kabla sijachukua hatua.