Ileje
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 8,798
- 12,240
Usiwe mvivu kusoma current affairs za nchi hii vinginevyo utaonekana mnafiki kwa aina ya maswali unayouliza!Kuna ndege zingine zinakuja?Ngapi na za aina gani?
Usiwe mvivu kusoma current affairs za nchi hii vinginevyo utaonekana mnafiki kwa aina ya maswali unayouliza!Kuna ndege zingine zinakuja?Ngapi na za aina gani?
Hahaaahaaa hivi umetumia neno ushamba vipi ni sifa au tusi ukiambiwa ushamba wa ndege ukasahau kuwekeza kwenye chakula nani mshamba wajanja asilimia kubwa waliwekeza kwenye chakula ndo wakatoboa we ng'ang'ania madege yako yakishamba kama unavyolipenda hilo neno (mafeni, panga boi)mbona ndege zinawauma sana kila mara lazima mchombeze ndege. kwani huwezi tuu ukawasilisha hoja yako bila kutaja ndege.?
kwa hiyo ndege ndio zimemaliza pesa zote za serikali.? inawezekana una hoja ya msingi, ila kuingiza ndege kwenye hoja yako umeniharibia mood.
kilimo kiwe kilimo na ndege ziwe ndege. acheni ushamba wa kuwaza ndege kwennye kila mnalowaza.