Wataelewa tu.Wewe ndiye mshamba ambaye tangu ndege zinunuliwe haujawahi kuzipanda na bado unashabikia ndege, endeleeni kukurupuka na maamuzi yasiyopitia bungeni, mkidhani nchi ni familia yenu, mnatafuta umaarufu wa kishambaaa, Leo kagera mmewadhalilisha ,endeleeni Mungu anawaona
utakuwa mdada kama sikosei, vumilia tu nongwa za nini!Mkuu, hakuna priority ya hovyo hapo. kwanza hilo lilishaisha, ndege zilishanunuliwa. nadhani tungeendelea na mengine. lakini kukaa tuna reffer ndege kila tukilala tukiamka ndege, hii inaonyesha tulivyo washamba. siku sekta ya utalii ikiinuka kutokana na ndege tunazonunua mkumbuke kuja hapa mkiri aibu zenu.
ndege...ndege...ndege..............basi zichukueni mzirudishe huko canada ili mfurahi.
nani aliwaambia ndege ndio zimezuia kilimo.? huu ni ushamba na ufinyu wa kufikiria.
Wanyonge anaowamaanisha si ameshawateua na kuwapa vyeo..?Huyu ndiye baba anayesema yupo kwa ajili ya wanyonge sijui ni wanyonge wepi anaye wasema.
Wamuzengombona ndege zinawauma sana kila mara lazima mchombeze ndege. kwani huwezi tuu ukawasilisha hoja yako bila kutaja ndege.?
kwa hiyo ndege ndio zimemaliza pesa zote za serikali.? inawezekana una hoja ya msingi, ila kuingiza ndege kwenye hoja yako umeniharibia mood.
kilimo kiwe kilimo na ndege ziwe ndege. acheni ushamba wa kuwaza ndege kwennye kila mnalowaza.
Kwasababu ndege sio hitaji linalogusa asilimia kubwa ya watanzania walalahoi.mbona ndege zinawauma sana kila mara lazima mchombeze ndege. kwani huwezi tuu ukawasilisha hoja yako bila kutaja ndege.?
kwa hiyo ndege ndio zimemaliza pesa zote za serikali.? inawezekana una hoja ya msingi, ila kuingiza ndege kwenye hoja yako umeniharibia mood.
kilimo kiwe kilimo na ndege ziwe ndege. acheni ushamba wa kuwaza ndege kwennye kila mnalowaza.
Magufuli ndiyo kila baada ya sentensi mbili ana-refer ndege,Mkuu, hakuna priority ya hovyo hapo. kwanza hilo lilishaisha, ndege zilishanunuliwa. nadhani tungeendelea na mengine. lakini kukaa tuna reffer ndege kila tukilala tukiamka ndege, hii inaonyesha tulivyo washamba. siku sekta ya utalii ikiinuka kutokana na ndege tunazonunua mkumbuke kuja hapa mkiri aibu zenu.
ndege...ndege...ndege..............basi zichukueni mzirudishe huko canada ili mfurahi.
nani aliwaambia ndege ndio zimezuia kilimo.? huu ni ushamba na ufinyu wa kufikiria.
Haya maelezo yako kamuelezee house girl wako pekee ndiyo atakuelewa.wewe ndio utapasuka. mi ninachojua serikali ina pesa mpaka sasa hivi. pembejeo zitanunuliwa kwa wakati muafaka.
mikopo ya wanafunzi waliostahili wameshapata.
madeni ya watumishi yanalipwa kadri yanavyohakikiwa.
Mkuu, unapokuwa na sakata kama hili la watumishi hewa huwezi lipa lipa tuu bila kuhakiki.
Bado kuna ndege zingine zinakuja na zimelipiwa cash! Cash ambayo ingesaidia kununua pembejeo, mikopo kwa wanafunzi, kulipa madeni ya watumishi nk!
Sasa pasuka kabisa!
Hapo ndipo mnapokosea-kudhani kwamba ndege ndio zitachochea utalii! Lakini pia msiwe waoga watu wanapo critisize maamuzi yenu na kufanya reference ya mambo ambayo nyie mnaona ni kipaumbele. Kwamba wenzenu wamewaonyesha kwamba hatupaswi kuwa na vipaumbele vya bombadier tukadharau vipaumbele katika kukuza sekta ya kilimo kwa kuwa hapa sasa tunatanua goli la kuongeza umaskini na ukosefu wa ajira. Kwamba maendeleo yetu hayataletwa na bombadier kama hatuwekezi katika kilimo!Mkuu, hakuna priority ya hovyo hapo. kwanza hilo lilishaisha, ndege zilishanunuliwa. nadhani tungeendelea na mengine. lakini kukaa tuna reffer ndege kila tukilala tukiamka ndege, hii inaonyesha tulivyo washamba. siku sekta ya utalii ikiinuka kutokana na ndege tunazonunua mkumbuke kuja hapa mkiri aibu zenu.
ndege...ndege...ndege..............basi zichukueni mzirudishe huko canada ili mfurahi.
nani aliwaambia ndege ndio zimezuia kilimo.? huu ni ushamba na ufinyu wa kufikiria.
Muandishi wa habari atakaye report habari z vifo vilivyotokana na njaa ataozea jela.Binafsi nasubiri kuona unafki wetu kama taifa tutapoanza kuzika wenzetu kwa njaaa.maana kuna watu kupungua kwa hiyo bajeti ya bln 78 hadi kufikia bl 8 ,hawaoni kua ni tatizo kabisa.
Na bado tunaamini kabisa kua serikali ya awamu ya tano ni ya kutetea wanyonge.hivi kuna mnyonge zaidi ya asie kua na uhakika wa chakula!
Utakuwa huna taarifa sahihi, wanafunzi wengi wenye sifa wako majumbani sasa! Na hata walioko vyuoni wanapata fedha kwa kusuasua sana, sasa kwamba serikali ina fedha kama unavyodai yaweza kuwa ni wewe peke yako mwenye uhakika huo, kwamba hata unaojipendekeza kwao watakuwa wanakushangaa mno!wewe ndio utapasuka. mi ninachojua serikali ina pesa mpaka sasa hivi. pembejeo zitanunuliwa kwa wakati muafaka.
mikopo ya wanafunzi waliostahili wameshapata.
madeni ya watumishi yanalipwa kadri yanavyohakikiwa.
Mkuu, unapokuwa na sakata kama hili la watumishi hewa huwezi lipa lipa tuu bila kuhakiki.
Kununua ndege kwa cash ndiyo inashangaza Dunia kwani hata waarabu akina Qatar na wenzao matajiri Duniani hawanunui ndege kwa cash,kununua ndege cash wakati wananchi walipata maafa kagera wakakosa pesa za maafa mpaka wananchi wakachanga, kununua ndege cash ni mbinu za Madalali ili wapate 10% yao kwa wepesi na haraka zaidi, ni mood gani inaharibiwa hapo?mbona ndege zinawauma sana kila mara lazima mchombeze ndege. kwani huwezi tuu ukawasilisha hoja yako bila kutaja ndege.?
kwa hiyo ndege ndio zimemaliza pesa zote za serikali.? inawezekana una hoja ya msingi, ila kuingiza ndege kwenye hoja yako umeniharibia mood.
kilimo kiwe kilimo na ndege ziwe ndege. acheni ushamba wa kuwaza ndege kwennye kila mnalowaza.
JK asingekwenda na majina ya membe na January mifukoni Dodoma leo hii tusingekuwa na story hii pengine tungekuwa na story zingine kabsa.Watanzania hatukukosea kuchagua rais yupo tulie mchagua bt haya yote yanaletwa na JK kwa kutulazimishia nani awe rais na nani asiwe
ha ha haa! funny idea! i am sure you are being sarcastic!KWANI HATUWEZI KUZITUMA NDEGE ZITULETEE VYAKULA ,MBALIMBALI KAMA SOSEJI KUTOKA ULAYA MOJA KWA MOJA HADI TANZANIA?
Kama hujaelewa alichokiandika zitto Kabwe basi nchi hii ina watu wengi ambao ni vichaa wanaostahili kuwa milembe kwenye doziKWANI HATUWEZI KUZITUMA NDEGE ZITULETEE VYAKULA ,MBALIMBALI KAMA SOSEJI KUTOKA ULAYA MOJA KWA MOJA HADI TANZANIA?
mbona ndege zinawauma sana kila mara lazima mchombeze ndege. kwani huwezi tuu ukawasilisha hoja yako bila kutaja ndege.?
kwa hiyo ndege ndio zimemaliza pesa zote za serikali.? inawezekana una hoja ya msingi, ila kuingiza ndege kwenye hoja yako umeniharibia mood.
kilimo kiwe kilimo na ndege ziwe ndege. acheni ushamba wa kuwaza ndege kwennye kila mnalowaza.
mbona ndege zinawauma sana kila mara lazima mchombeze ndege. kwani huwezi tuu ukawasilisha hoja yako bila kutaja ndege.?
kwa hiyo ndege ndio zimemaliza pesa zote za serikali.? inawezekana una hoja ya msingi, ila kuingiza ndege kwenye hoja yako umeniharibia mood.
kilimo kiwe kilimo na ndege ziwe ndege. acheni ushamba wa kuwaza ndege kwennye kila mnalowaza.
mbona ndege zinawauma sana kila mara lazima mchombeze ndege. kwani huwezi tuu ukawasilisha hoja yako bila kutaja ndege.?
kwa hiyo ndege ndio zimemaliza pesa zote za serikali.? inawezekana una hoja ya msingi, ila kuingiza ndege kwenye hoja yako umeniharibia mood.
kilimo kiwe kilimo na ndege ziwe ndege. acheni ushamba wa kuwaza ndege kwennye kila mnalowaza.