Huu mpapai ni dume au jike?

Huu mpapai ni dume au jike?

Wadau habari.

Huu mpapai nilinunua mche mwezi January kama sijakosea. Sasaumeanza kutoa maua kama hayo mnayoona. Michemingine huwa inapotoa maua inatoa maua moja mojaambayo ndo inakuwa tunda lakini angalia hayo maua yalivyo mengi alafu madogo.

Hivi siyo papai dume kweli? Naomba wazoefu mnisaidie ili kama ni dume nikaling'oe haraka sana nipande mche mwingine ili huu usinilie rutuba zangu bure.

View attachment 3286066
Hilo Njemba Mkuu!
 
Wadau habari.

Huu mpapai nilinunua mche mwezi January kama sijakosea. Sasaumeanza kutoa maua kama hayo mnayoona. Michemingine huwa inapotoa maua inatoa maua moja mojaambayo ndo inakuwa tunda lakini angalia hayo maua yalivyo mengi alafu madogo.

Hivi siyo papai dume kweli? Naomba wazoefu mnisaidie ili kama ni dume nikaling'oe haraka sana nipande mche mwingine ili huu usinilie rutuba zangu bure.

View attachment 3286066
Dume,ufungie gunzi kufufua uzazi wake.
 
Nilikuwa nao wa Aina hiyo unazaa mapapai makubwa na unakuwa mrefu Sana matamu pia
Mkuu mimi nina miche mingine mingi, mmojawapo nimeshaanza kula matunda yake unazaa matunda mengi sana hadi nashangaa. Lakini mwonekano wake ni tofauti na hii niliyopost. Mingine yote inapotoa maua hayawi mengi kiasi hiki, na pia maua ya jike huwa makubwa na machache. Inatokea maua mawili au matatu lakini yanaachana kwa space kwenda juu na yanakuwa makubwa. siyo kama hii midogo midogo mingi. Kwa taarifa nimeshafyeka hiyo miche yote miwili na nimeshapanda mingine inaendelea kupepea.
 
Wadau habari.

Huu mpapai nilinunua mche mwezi January kama sijakosea. Sasaumeanza kutoa maua kama hayo mnayoona. Michemingine huwa inapotoa maua inatoa maua moja mojaambayo ndo inakuwa tunda lakini angalia hayo maua yalivyo mengi alafu madogo.

Hivi siyo papai dume kweli? Naomba wazoefu mnisaidie ili kama ni dume nikaling'oe haraka sana nipande mche mwingine ili huu usinilie rutuba zangu bure.

View attachment 3286066
kailima mwenyewe
 
Wadau habari.

Huu mpapai nilinunua mche mwezi January kama sijakosea. Sasaumeanza kutoa maua kama hayo mnayoona. Michemingine huwa inapotoa maua inatoa maua moja mojaambayo ndo inakuwa tunda lakini angalia hayo maua yalivyo mengi alafu madogo.

Hivi siyo papai dume kweli? Naomba wazoefu mnisaidie ili kama ni dume nikaling'oe haraka sana nipande mche mwingine ili huu usinilie rutuba zangu bure.

View attachment 3286066
Ungekuwa dume ungekuwa na makende.

Makende yako wapi?
 
Back
Top Bottom