Huu mkutano wa kufanyikia mitandaoni ni sababu ya ukata?

Huu mkutano wa kufanyikia mitandaoni ni sababu ya ukata?

Rabbon

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2022
Posts
25,938
Reaction score
41,098
Salaam!

Hii mikutano ya video conferencing tuliizoea time zile kuna korona, na mara nyinginw vilifanyika kupunguza Gharama.

Sasa chama kikubwa namna hii kufanya mkutano mkubwa namna hii kwa video conferencing ni sababu ya ukata?

Sitaki ukiamini hili maana ni majuzi tu wamedai kupokea bilioni 3 kwa maombi ya ubunge KUPITIA fomu za wagombea chamani.

Wenye majibu mtujuze.🙏
 
Kimsingi si uhaba wa bajeti, kama tuliweza kununua pikipiki na baiskeli nchi nzima tutashindwa kuhudumia wajumbe tu? Ni dharula inayoweza kujadilika online
 
Mwisho wa huyu mama utakuwa mbaya zaidi ya Mfalme Sauli.

Kwanza, hana nia njema na chama chake.

Pili, hana nia njema na Tanganyika.

Tatu, anaingilia haki na uhuru wa mtu wa kuabudu.

Nne, kuvunja katiba ya nchi na chama ---- kwa ulafi wa madaraka.

Tano, mtapanya pesa za walipa kodi, kwa matumizi yasiyo na tija kwa Taifa.

Sita, mkopaaji hodari, lakini sio msimamizi mzuri wa pesa alizokopa.

Saba, Mbinafsishaji wa mali za umma, kwa maslahi binafsi.

Nane, Anajificha kwenye kivuli cha kilemba na umama.

Tisa, Fisadi, Muuaji na Dikteta.

Kumi, Amekataliwa kwanzia kwenye Chama, Nchi, Afrika na Dunia nzima

Mwisho, Amekataliwa Mbinguni.
 
Salaam!

Hii mikutano ya video conferencing tuliizoea time zile kuna korona, na mara nyinginw vilifanyika kupunguza Gharama.

Sasa chama kikubwa namna hii kufanya mkutano mkubwa namna hii kwa video conferencing ni sababu ya ukata?

Sitaki ukiamini hili maana ni majuzi tu wamedai kupokea bilioni 3 kwa maombi ya ubunge KUPITIA fomu za wagombea chamani.

Wenye majibu mtujuze.🙏

View: https://youtu.be/4cgg2iJNK_I?si=2HfGejN60f0oewyx
 
Mwisho wa huyu mama utakuwa mbaya zaidi ya Mfalme Sauli.

Kwanza, hana nia njema na chama chake.

Pili, hana nia njema na Tanganyika.

Tatu, anaingilia haki na uhuru wa mtu wa kuabudu.

Nne, kuvunja katiba ya nchi na chama ---- kwa ulafi wa madaraka.

Tano, mtapanya pesa za walipa kodi, kwa matumizi yasiyo na tija kwa Taifa.

Sita, mkopaaji hodari, lakini sio msimamizi mzuri wa pesa alizokopa.

Saba, Mbinafsishaji wa mali za umma, kwa maslahi binafsi.

Nane, Anajificha kwenye kivuli cha kilemba na umama.

Tisa, Fisadi, Muuaji na Dikteta.

Kumi, Amekataliwa kwanzia kwenye Chama, Nchi, Afrika na Dunia nzima

Mwisho, Amekataliwa Mbinguni.
Mmh unaongea kwa hisia mkuu
 
Salaam!

Hii mikutano ya video conferencing tuliizoea time zile kuna korona, na mara nyinginw vilifanyika kupunguza Gharama.

Sasa chama kikubwa namna hii kufanya mkutano mkubwa namna hii kwa video conferencing ni sababu ya ukata?

Sitaki ukiamini hili maana ni majuzi tu wamedai kupokea bilioni 3 kwa maombi ya ubunge KUPITIA fomu za wagombea chamani.

Wenye majibu mtujuze.🙏
Akina nani wanafanyia huko?
 
Wanaweza kusingizia corona kama ulivyosema
 
Back
Top Bottom