Huu mji kutongoza kazi sana...

Huu mji kutongoza kazi sana...

Hata akiwa bussy muongeleshe, msimamishe na ndo njia rahis, mtu anae kupa attention akiwa bussy au njian ukaomba namba akakupa jua ndo kakuelewa
Ila jamaa kasema type hiyo inapiga mizinga day one.
 
Yaani kusema kweli hata mimi siku hizi nilishasahau kutongoza kabisa na pia siwezi kumwambia binti eti "nakupenda" au "nimekupenda" maana nahisi ntakuwa namdanganya!
Mie huwa naomba mbunye tu akizingua napita hivi.
Halafu mademu wa siku hizi sio wagumu kama enzi zile
Siku hizi ukiwa mjanja unakutana na demu muda huo unaenda kumla siku hiyo hiyo kikubwa uwe na pesa mfukoni na ukiwa na "kagari" japo kama kale ka Mr Bean utawala sana mpaka utakufa na ngono

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ha ha ha ha[emoji51] [emoji51] [emoji51] [emoji51] karibu town jomba,,
Hao unaowaona wako busy wengi wao hawajui hata wanakwenda wapi mkuu,wewe earphone zisikutishe sema nao tu ,
Wengine hata smart phone zao huwa zimezima charge ila masikioni ameweka earphone
Umeuwaa!!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe bado mchanga kwenye Gemu. Anza na Beki tatu then utapanda Daraja.

Mwanamke ni mwanamke popote duniani.
Ni kweli mkuu jamaa angeanzia hapo kwa shemeji yake alipofikia
aanze kwanza na beki tatu wa dadake badae aanze na wapangaji wengine halafu baadae atalizoea jiji ataanza kuvitafuna vitoto vya chuo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tafuta gari hata IST sio mbaya. Watajileta wenyewe.
Kwa dsm ukiwa na kigari chako mbona utawala sana sio wa chuo sio wa mtaani ,tena kama kipindi hiki cha mvua usafiri wenyewe ni kazi sana kuupata

sent from toyota Allex
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Jana nimejaribu hii mbinu, nikawa nimsemesha mdada hanisikii akitoa headphones siongei.... nikaona ananipa umakini na kutarajia neno.

Sikuwa na mpango zaidi ya kumsumbua tu, akiweka earphones namsemesha tena anazitoa.... anauliza “unasemaje” kwa shauku nami sisemi tena.

Nilivyoona ananihitaji zaidi ya ninavyomhitaji nikauchuna, unaweza kujikuta umeuziwa majukumu ya ziada bila shuruti.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom