Ushauri mbovu huo arudi shamba tena mwambie apambane na hali yakeBc rudi shamba ukaanze upya tena safari
Kuna usemi unasema km hujamalizia njozi rudi tena kulala uimalizie,Ushauri mbovu huo arudi shamba tena mwambie apambane na hali yake
Temeke paleBuguruni??
Wewe bado mchanga kwenye Gemu. Anza na Beki tatu then utapanda Daraja.
Mwanamke ni mwanamke popote duniani.
Na akimpa mimba uyo beki tatu anashuka daraja [emoji23][emoji23]
Hata huyo mdada wa hapo jirani unapoishi busy na earphone na smartphone?
Yawezekana kuwa wao ndio wauzaji - malaya au barmaid, hivyo nao hawajazoea kutongozwa.Kuna wakati nilikuwa najiuliza mtu anaanzaje kubeba malaya au baamed, ila sasa naanza kuwaelewa.. Kwa hali ya dsm kuliko kutongozana ni bora ununue tu huduma.
NB: Wataalam wa mambo nipeni mbinu, mnawawezaje hawa wadada wa mjini walio busy na smartphone na earphone muda wote??