Lavit
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 16,338
- 37,779
Wakuu mnaweza sema habari ya kutongozana ilishapitwa na wakati, sawa inaweza kuwa kweli ila kwa Dsm hata kumsogelea kumuongelesha mwanamke ni kazi ngumu.
Nakumbuka wakati nipo mkoani nilikuwa naweza muapproach mwanamke yeyote atakayenivutia, ila hapa mjini ujasiri wote umeisha, watu wako busy na wadada ndo kabisa! Iwe mjini, kituo cha basi, kwenye daladala hata mwendokasi.
Huwa inanitokea kila nikijaribu kumuongelesha mdada najishtukia na kujiuliza atanionaje. Hata namba chache nilizowahi chukua hazikuzaa matunda zaidi ya kuambulia kupigwa mizinga siku ya kwanza.
Kuna wakati nilikuwa najiuliza mtu anaanzaje kubeba malaya au baamed, ila sasa naanza kuwaelewa.. Kwa hali ya dsm kuliko kutongozana ni bora ununue tu huduma.
NB: Wataalam wa mambo nipeni mbinu, mnawawezaje hawa wadada wa mjini walio busy na smartphone na earphone muda wote??
Nakumbuka wakati nipo mkoani nilikuwa naweza muapproach mwanamke yeyote atakayenivutia, ila hapa mjini ujasiri wote umeisha, watu wako busy na wadada ndo kabisa! Iwe mjini, kituo cha basi, kwenye daladala hata mwendokasi.
Huwa inanitokea kila nikijaribu kumuongelesha mdada najishtukia na kujiuliza atanionaje. Hata namba chache nilizowahi chukua hazikuzaa matunda zaidi ya kuambulia kupigwa mizinga siku ya kwanza.
Kuna wakati nilikuwa najiuliza mtu anaanzaje kubeba malaya au baamed, ila sasa naanza kuwaelewa.. Kwa hali ya dsm kuliko kutongozana ni bora ununue tu huduma.
NB: Wataalam wa mambo nipeni mbinu, mnawawezaje hawa wadada wa mjini walio busy na smartphone na earphone muda wote??