Wewe bana..kukunasa mbona rahisi sana..hahahahaha watanikamatia wapi sasa huwa sinasagi kwenye tundu bovu
Hayo ni mambo ya kitoto sana......
Ukweli ni kwamba kila mtu atafanya kutegemea na hisia alizonazo kwa huyo mwenzi wake....
Kama ni pozeo basi hakuna sababu ya kudanganya wala kupoteza muda...game likiisha na duka linafungwa...No more business!
Kani ugumu uko wapi hadi mtu uanze kutafuta sababu za kitoto?
ngono inatesa watu sana.
Na hata duka likifungwa, ukubwa dawa. Mtaendelea kuongelea uwekezaji, ujenzi na kukamata ardhi.
yaani mahusiano ya kitoto focus ni sex tu! Aisee, utoto taabu sana.
Your thinking capacity is too low
Halafu vinaniliu vyenyewe viko mbaliiii! Pata picha vongekuwa ubavuni waziwazi kama minyoo!
Wewe bana..kukunasa mbona rahisi sana..
kuna uzi uko humu unatafutwa na mtu ambaye hataki mwanamume akutaje kwenye comment yake au a like comment yako.Wadau wanasubiri upande wako.mi sijawahi kushuhudia hii
kuna uzi uko humu unatafutwa na mtu ambaye hataki mwanamume akutaje kwenye comment yake au a like comment yako.Wadau wanasubiri upande wako.
miss neddy unantafutia lawama bana..unaweza kujaribu ruksa
miss neddy unantafutia lawama bana..