Old Member (Retired)
JF-Expert Member
- Sep 29, 2012
- 3,401
- 1,618
Mi ndio MCHUNGUZI HURU, nafanya chunguzi nikiwa huru kimawazo... ukikubali chukua, hutaki unaacha. I DARE TO POST THREAD OPENLY...
Mwanaume akishafanya sex na mwanamke akawa hajisikii kuendelea kukaa mahali walipo either iwe kwenye hotel au nyumbani kwa mwanaume au mwanamke lakini mwanamke bado anahitaji kuendelea kuwa na huyo mwanaume, unajua mwanaume huwa anafanya nini ili kuondoka au mwanamke aondoke? Endelea kusoma MCHUNGUZI HURU nikueleze kinachofanyika.
Ikumbuke kwamba mara nyinGi mwanaume akishasex na mwanamke huwa anapoteza hamu kwa huyo mwanamke yaani ghafla anajikuta hana mzuka na huyo mwanamke (mara nyingi).
Mwanaume akiwa anataka aondoke au uondoke humtumia sms rafiki yake "mwanangu fanya unitumie sms au unipigie niambie nahitajika ofisini haraka sana" au "unahitajika haraka sana chuoni" baada ya kumtumia rafiki yake basi atapigiwa simu afu anaweza weka loud speaker ili usikie au atatumiwa sms na huyo jamaa yake na atakuonyesha kabisa hiyo sms ila ukimwambia nikusindikize atakataa... ha ha ha.... akishafanya hivyo basi tena ndio anakuwa ashaondoka, siku akiwa na hamu tena anakuita akimaliza anakuja na ujanja mwingne...... wanaume ni janga kwa taifa
MCHUNGUZI HURU
Mwanaume akishafanya sex na mwanamke akawa hajisikii kuendelea kukaa mahali walipo either iwe kwenye hotel au nyumbani kwa mwanaume au mwanamke lakini mwanamke bado anahitaji kuendelea kuwa na huyo mwanaume, unajua mwanaume huwa anafanya nini ili kuondoka au mwanamke aondoke? Endelea kusoma MCHUNGUZI HURU nikueleze kinachofanyika.
Ikumbuke kwamba mara nyinGi mwanaume akishasex na mwanamke huwa anapoteza hamu kwa huyo mwanamke yaani ghafla anajikuta hana mzuka na huyo mwanamke (mara nyingi).
Mwanaume akiwa anataka aondoke au uondoke humtumia sms rafiki yake "mwanangu fanya unitumie sms au unipigie niambie nahitajika ofisini haraka sana" au "unahitajika haraka sana chuoni" baada ya kumtumia rafiki yake basi atapigiwa simu afu anaweza weka loud speaker ili usikie au atatumiwa sms na huyo jamaa yake na atakuonyesha kabisa hiyo sms ila ukimwambia nikusindikize atakataa... ha ha ha.... akishafanya hivyo basi tena ndio anakuwa ashaondoka, siku akiwa na hamu tena anakuita akimaliza anakuja na ujanja mwingne...... wanaume ni janga kwa taifa
MCHUNGUZI HURU
Last edited by a moderator: