Huu mchezo Wanaume wanawafanyia sana Wanawake

Huu mchezo Wanaume wanawafanyia sana Wanawake

ndo manake,sasa nimeshakinai so niendelee ili iwaje,time is money buana.
 
hahahahaha watanikamatia wapi sasa huwa sinasagi kwenye tundu bovu
Hahaha utakamatwa japo huwezi kusema hiyo siku..!! Wazee wa michepuko wana mbinu bana asikwambie mtu..! Hapa kwenyewe unapigiwa mahesabu..!! Ukinasa na ukakutana na hilo tatizo njoo na feedback basi


Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Hata uwe unamgonga kichaa, aisee utam wa sex ni kitu kingine kabisa! sidhani kama kuna muda utafikiria ku-text mtu sababu ya poor environment.. i beg to differ!

kuna wanaume wanadiriki kugongea wanawake vichochoroni, kwenye viti, maporini na sehemu nyingine mbaya! acha kabisa, utam wa sex hautokuwa na muda wa texting!

haya ni mawazo yangu....

NB: mwanaume akishavuliwa chupi, especially akiwa yeye ndio anataka sex, akili ya mambo mengine huwa inapotea kabisa........
 
Hahaha utakamatwa japo huwezi kusema hiyo siku..!! Wazee wa michepuko wana mbinu bana asikwambie mtu..! Hapa kwenyewe unapigiwa mahesabu..!! Ukinasa na ukakutana na hilo tatizo njoo na feedback basi


Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums

hahahahaha ama kweli adui yako mwombee njaa
 
Hivi wewe ni mwanamume au wakiume au mwanamke au wakike?
 
Kama humfeel ni kweli kabisa..lakini Kama yupo kwa moyo,unatamani muwe wote tuu, mpige story za hapa na pale!!
 
Mi ndio MCHUNGUZI HURU, nafanya chunguzi nikiwa huru kimawazo... ukikubali chukua, hutaki unaacha. I DARE TO POST THREAD OPENLY...

Mwanaume akishafanya sex na mwanamke akawa hajisikii kuendelea kukaa mahali walipo either iwe kwenye hotel au nyumbani kwa mwanaume au mwanamke lakini mwanamke bado anahitaji kuendelea kuwa na huyo mwanaume, unajua mwanaume huwa anafanya nini ili kuondoka au mwanamke aondoke? Endelea kusoma MCHUNGUZI HURU nikueleze kinachofanyika.

Ikumbuke kwamba mara nyinGi mwanaume akishasex na mwanamke huwa anapoteza hamu kwa huyo mwanamke yaani ghafla anajikuta hana mzuka na huyo mwanamke (mara nyingi).

Mwanaume akiwa anataka aondoke au uondoke humtumia sms rafiki yake "mwanangu fanya unitumie sms au unipigie niambie nahitajika ofisini haraka sana" au "unahitajika haraka sana chuoni" baada ya kumtumia rafiki yake basi atapigiwa simu afu anaweza weka loud speaker ili usikie au atatumiwa sms na huyo jamaa yake na atakuonyesha kabisa hiyo sms ila ukimwambia nikusindikize atakataa... ha ha ha.... akishafanya hivyo basi tena ndio anakuwa ashaondoka, siku akiwa na hamu tena anakuita akimaliza anakuja na ujanja mwingne...... wanaume ni janga kwa taifa
MCHUNGUZI HURU
Aisee..mbona hizi thread zako zote kiuhalisia zinatakiwa ziwasilishwe na jinsia ke....hii mara ya tatu..i'm losing patience...next tym expect an irritating me!
 
Hayo ni mambo ya kitoto sana......

Ukweli ni kwamba kila mtu atafanya kutegemea na hisia alizonazo kwa huyo mwenzi wake....

Kama ni pozeo basi hakuna sababu ya kudanganya wala kupoteza muda...game likiisha na duka linafungwa...No more business!

Kani ugumu uko wapi hadi mtu uanze kutafuta sababu za kitoto?
 
Mchunguzi kajichunguza mwenyewe katuletea sisi uchunguz wake tuupe marks..
 
Hayo ni mambo ya kitoto sana......

Ukweli ni kwamba kila mtu atafanya kutegemea na hisia alizonazo kwa huyo mwenzi wake....

Kama ni pozeo basi hakuna sababu ya kudanganya wala kupoteza muda...game likiisha na duka linafungwa...No more business!

Kani ugumu uko wapi hadi mtu uanze kutafuta sababu za kitoto?

si anaogopa kutangazwa yeye wa kagori kamoja
 
Back
Top Bottom