Dah... Tutoto twa shule tupo likizoMi ndio MCHUNGUZI HURU, nafanya chunguzi nikiwa huru kimawazo... ukikubali chukua, hutaki unaacha. I DARE TO POST THREAD OPENLY...
Mwanaume akishafanya sex na mwanamke akawa hajisikii kuendelea kukaa mahali walipo either iwe kwenye hotel au nyumbani kwa mwanaume au mwanamke lakini mwanamke bado anahitaji kuendelea kuwa na huyo mwanaume, unajua mwanaume huwa anafanya nini ili kuondoka au mwanamke aondoke? Endelea kusoma MCHUNGUZI HURU nikueleze kinachofanyika.
Ikumbuke kwamba mara nyinGi mwanaume akishasex na mwanamke huwa anapoteza hamu kwa huyo mwanamke yaani ghafla anajikuta hana mzuka na huyo mwanamke (mara nyingi).
Mwanaume akiwa anataka aondoke au uondoke humtumia sms rafiki yake "mwanangu fanya unitumie sms au unipigie niambie nahitajika ofisini haraka sana" au "unahitajika haraka sana chuoni" baada ya kumtumia rafiki yake basi atapigiwa simu afu anaweza weka loud speaker ili usikie au atatumiwa sms na huyo jamaa yake na atakuonyesha kabisa hiyo sms ila ukimwambia nikusindikize atakataa... ha ha ha.... akishafanya hivyo basi tena ndio anakuwa ashaondoka, siku akiwa na hamu tena anakuita akimaliza anakuja na ujanja mwingne...... wanaume ni janga kwa taifa
MCHUNGUZI HURU
Kama humpendi ndio hutajisikia kitu ila kama wampenda lazima utataka muendelee
mi sijawahi kushuhudia hii
Sema nipo mbali tu..ila ningezama mzima mzimahahahahahahhaa kina kirefu hiki sio kidimbwi usije ukazama bure
Hii ni roho mbaya kabisaaaaaaah kisa we usha rithika una mkata stim mwenzio duuuuuh!! Ndio mana michepuko hata kwa wadada ipo koz mna wabeep tu hawatosheki.Mi ndio MCHUNGUZI HURU, nafanya chunguzi nikiwa huru kimawazo... ukikubali chukua, hutaki unaacha. I DARE TO POST THREAD OPENLY...
Mwanaume akishafanya sex na mwanamke akawa hajisikii kuendelea kukaa mahali walipo either iwe kwenye hotel au nyumbani kwa mwanaume au mwanamke lakini mwanamke bado anahitaji kuendelea kuwa na huyo mwanaume, unajua mwanaume huwa anafanya nini ili kuondoka au mwanamke aondoke? Endelea kusoma MCHUNGUZI HURU nikueleze kinachofanyika.
Ikumbuke kwamba mara nyinGi mwanaume akishasex na mwanamke huwa anapoteza hamu kwa huyo mwanamke yaani ghafla anajikuta hana mzuka na huyo mwanamke (mara nyingi).
Mwanaume akiwa anataka aondoke au uondoke humtumia sms rafiki yake "mwanangu fanya unitumie sms au unipigie niambie nahitajika ofisini haraka sana" au "unahitajika haraka sana chuoni" baada ya kumtumia rafiki yake basi atapigiwa simu afu anaweza weka loud speaker ili usikie au atatumiwa sms na huyo jamaa yake na atakuonyesha kabisa hiyo sms ila ukimwambia nikusindikize atakataa... ha ha ha.... akishafanya hivyo basi tena ndio anakuwa ashaondoka, siku akiwa na hamu tena anakuita akimaliza anakuja na ujanja mwingne...... wanaume ni janga kwa taifa
MCHUNGUZI HURU
Halafu vinaniliu vyenyewe viko mbaliiii! Pata picha vongekuwa ubavuni waziwazi kama minyoo!