Nokchuno
Senior Member
- Jun 25, 2016
- 101
- 94
- Thread starter
- #41
Ndivyo ilivyo mkuuMkuu umeamka na wazo langu yaani nilikua nawaza leo niandike uzi kama huu ila sio mbaya umenirahisishia.Wale walioshangilia kupunguzwa kwa PAYE nadhani sasa wataelewa ule msemo wa JK kuwa ukitaka kula lazima na wewe uliwe .
Hizi kodi walizotulimbikia wafanyakazi zinaumiza sana sijui hao ambao tukisema tuandamane watupiga mabomu wao huwa haziwakuti hizi gharama.