Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 40,095
- 62,032
Naongeza mzinga mwingine wa lubisiMwafaa
Wewe una mapacha wangapi?Pamoja nakuficha ila biology ulipiga buyu bwashee
View attachment 3549629
Mimi mwenyewe ni pacha wa mtu πWewe una mapacha wangapi?
Wakizaliwa kapime DNA.. Ni ushauri tuuπKwa uzee wangu huu wa miaka 72, sijawahi kuwa na watoto mapacha ingawa huwa nawatamani sana.
Sasa majuzi, mchepuko wangu ukanijulisha ana ujauzito wa watoto mapacha.
Kwa furaha niliyonayo, hapa nipo kifua wazi napata kinywaji cha lubisi kwa kusherehekea ushindi.
Kama kuna mlimbwende anatafuta watoto mapacha asisite kunitafuta.
Unatakiwa na wewe utoe mapacha sita, mapori ni mengi yanahitaji watuMimi mwenyewe ni pacha wa mtu π
Huu ujasiri sina, naogopa kupoteza furaha na kujipa msongo wa mawazoWakizaliwa kapime DNA.. Ni ushauri tuuπ
Kwa upole alionao sidhani kama itakuwa ya kwakoHatimaye mapacha wangu wamepata baba mlezi ππ
Asante lissa kwa kuliwezesha hili ππΎ
Hatimaye mapacha wangu wamepata baba mlezi ππ
Asante lissa kwa kuliwezesha hili ππΎ
Ya kwako mkuu sitaki kuharibu urithi wa wanangu π«©Kwa upole alionao sidhani kama itakuwa ya kwako
Bwashee usiharibu maisha ya mapacha wangu π
Hii hatari sana, mtoto anakuwa mkubwa anamtafuta baba halisi na kumsahau mlezi
Mwamba ananyonya madini kwenye kapu lake polepole tuπBwashee usiharibu maisha ya mapacha wangu π
Mambo ya kutafuta thamani ya x ukija kwenye uhalisia wa maisha unatafuta pesaHii hatari sana, mtoto anakuwa mkubwa anamtafuta baba halisi na kumsahau mlezi
Subiri kwanza watoke tuone sura zao zina uelekeo upi.Ya kwako mkuu sitaki kuharibu urithi wa wanangu π«©
wala hana stress za mapacha πππMwamba ananyonya madini kwenye kapu lake polepole tuπ
Ni wewe kabisa mkuu hujaona ultrasound ni sura yako kabisa πSubiri kwanza watoke tuone sura zao zina uelekeo upi.