Huu Hapa Utapeli wa Serikali ya CCM

Wana Majibu mabaya sana hao wahudumu. Ni kama tunawaomba hela ya bure
 
Mkipigiwa simu hampokei, tukija Ofisini mnaishia kusema "swala lako linashughulikiwa". Maana yake ni nini?
Mkuu,
Hapo wanakuandaa kisaikolojia ujiongeze. Wanasemaga "mkono mtupu haulambwi", na
"Hakuna mkate mgumu kwa chai"

Yaani wewe huna ila inabidi uwatafutie wao kwanza, bila hivyo utakesha!
 
Kuna Jamaa alifukuzwa kazi aka fatilia pesa zake kama 5M, akawa kashafanya research yake afungue biashara yake ya 5M

Mwisho wa siku wamempa 30% anawauliza inakuaje hii wanamjibu kirahisi tu yeye ni bachelor holder hatachelewa kupata kazi, hawa mboga mboga ni zaidi ya mashetani huyu kijana kustack tu saizi
 
shida ya taasisi za serikali , ni kwamba hawaogopi kufukuzwa kazi, na kuna vitu vingine nadhani hata mamlaka zinaelewa hivyo hao watendaji hawaoni noma kukuzungusha --- maana haiingii akilini unafika ofisi wewe kama mteja wanakuzungusha hadi unaanza kufahamu jinsi wanavyotakiwa kufanya kazi
 
Hilo la 33% ya mshahara mimi nalifahamu. Ninachotaka mimi nipewe kwa wakati.
 
Yaani hadi natamani nikamuuwe mmoja. hata nikipoteza maisha nadhani italeta heshima kwa waliobaki. Huu ni upumbavu usiovumilika
 
Yaani hadi natamani nikamuuwe mmoja. hata nikipoteza maisha nadhani italeta heshima kwa waliobaki. Huu ni upumbavu usiovumilika
sasa hapo mkuu si utaenda kuozea jela, ngoja wabobevu watakupa mawazo
 
Ujumbe umefika
 
Na huo ndiyo utendaji kazi wa mwafrika,
Hata ndugu yetu anayelalamika pia alifanya kazi kwa utaratibu huo, bahati mbaya amepigwa chini anakuja kutulilia Jf.
 
Kufanya kazi kwa mazoea, hakuna performance review, hakuna targets, hakuna professionalism, hakuna discipline, hakuna kuwawajibishwa, hakuna anayejali, ni kutumbuwa tu Kodi za raia!
Wao bora LIENDE!
BANANA REPUBLIC AT ITS BEST!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…