Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 359,869
- 828,403
William Shakespeare aliwahi kusema kwamba "Nililia sana nilipokuwa sina Viatu lakini nilinyamaza baada ya kukuta Mtu hana Miguu"
Hivyo ndivyo ilivyo hata leo hii...Unaweza kumsimulia Mtu kitabu Kizima cha Matatizo yako halafu yeye akakupeleka kwenye Library(Maktaba) ya Matatizo yake....na huko ndipo unapokutana na Vitabu 6,278 halafu kitabu cha kwanza kufunua unakuta Matatizo yako wewe yameishia kwenye Dibaji tu (Fore words).
Hivyo ndivyo ilivyo hata leo hii...Unaweza kumsimulia Mtu kitabu Kizima cha Matatizo yako halafu yeye akakupeleka kwenye Library(Maktaba) ya Matatizo yake....na huko ndipo unapokutana na Vitabu 6,278 halafu kitabu cha kwanza kufunua unakuta Matatizo yako wewe yameishia kwenye Dibaji tu (Fore words).