HUSSEIN ISSA TUWA huwezi kumlinganisha na boya Shigongo.
miaka ya kina cliff na kazeem,my dead body in my own coffn nilivutiwa kaz za shigongo.lakin baada ya kusoma kaz zake nyingi nikamgundua kuwa ni tapeli hana ubunifu mpya,kazi zake zinatabirika kama sinema za bongo na anarudia story akibadili majina,pia ana tabia ya kujaza kingereza na tafsiri zake ili kujaza peji hata kama tukio linafanyika bongo na linafanywa na wabongo.utafiti pekee anaofanya shigongo ni kutaja majina tu ya madawa ya hospitali akigusia huko.
hadithi yake ya mwaka 2000 unaweza kuipata Leo katika jina jipya na wahusika wapya.lakin content ile ile.kifupi naweza kumsema sana tu huyu mzinguaji.
Lakin huseni issa Tuwa yuko fresh.kwenye list yangu yeye ni wa tatu baada ya Ben mtobwa na Elvis musiba.na sio kwamba ameandika kazi chache.juz kati tu hapa alikuwa mlimani city anasain copy zinazouzwa za kitabu chake.kwa ambae hamjui huyu jamaa atafute hiz kazi.
MKIMBIZI
MDUNGUAJI
UTATA WA9/12
MFADHILI
BONDIA
MISS TANZANIA
Hutazilinganisha kamwe na
SIKU ZA MWISHO ZA UHAI WANGU
RAIS ANAMPENDA MKE WANGU
SIRI ILIYOTESA MAISHA YANGU
DAMU,BUSU NA MACHOZI
KIFO NI HAKI YANGU.
Shigongo anakaa kwa tuwa!