Hussein Pamba Kali anauza nguo tu?


Umesoma vzr thread yangu huyo robby marro nimemtaja wapi.?? Kwanza ndio nani ndio namsikia leo mimi nimemtaja ROBBY ONE FASHION jina halisi ni robert i think huyu ni kijana mdgo wa KIUME ana maduka kadhaa dar es salaam je we ni mkazi wa dar km humjui basi huishi dar...next tym usikurupuke
 

We kweli tofali mbona unajifanya kuwajua sana vijana wa mjini wanaojituma??
Jitahidi na wewe one day tusikie TOFALI SUPER FASHION... usipojipanga hapo mjini utaishia kufukunyua "habari -----" za vijana wenzio waliofanikiwa!!
Nimekudharau sana tofali kama jinsi walivyokudharau Makomandoo wa JWTZ kwa kukuvunja kwa kichwa na nakoz!
 
Last edited by a moderator:

We ---- kweli unavamia gari kwa mbele unaulizwa Robby marro ndio nani unajibu nyoko nyoko..km una washwa tafuta mti wa kukukuna usiku huu .mxiuuuu umejigundua umevamia usichokielewa ndio mana unashoboka km shombo ht mm nazijua tako wewe
Hovyooooo huyo robby marro ndio basha wako nini anayekuweka mjini..kwanza usitake kumuingiza mdada wa watu ambaye ht hajatajwa kwa thread... Savimbi Jr kwani huyu mtu vipi katokea wapi
 
Last edited by a moderator:

Nimekudharau sana kijana... endelea kuokota vijihabari uchwara ili upate cha kuongea kwenye vijiwe vyenu vya bangi!
Nenda BRELA ukaulizie mwanzilishi wa ROF halafu urudi hapa uendelee kutapika uharo! unazuzuka na Robert eee ndo mnavyodanganyika eti!
Mimi sio wa umri wako wala huwezi kabisa fikia hatua nilizopo nisome vizuri utanifahamu tuu!!
 
Naskia robby na yule mtangazaji wa xxxl ni chakula cha watu
 
Ngoja aje willium J. malecela atasema unamchafua sponsors wake!!
 
Last edited by a moderator:
Mimi binafsi sikumbuki siku gani niliingia kwenye hayo maduka yao kununua nguo hizo biashara ni zuga tu kutupotezA maboya
 

Du si mchezo Mimi Kama refa Jecha Nasitisha mpambano mpaka nitakapotoa ufafanuzi tena.
 
Last edited by a moderator:
Hakuna asiejua kazi yake ni unga, anakaa pale nyuma ya shule ya karume Muembe chai ukipita ipo ile range yake nje maeneo ya makaburini.

Unataka kuniambia TISS hawajui Anachokifanya Huyo HPK? Maeneo ya Ekenywa ghorofani hahahaaa,Ngada inamaliza sana nguvu kazi ya taifa serikali itumbue majipu haya ya watu wanaoua nguvu kazi,HPK kamvua mtu uwanja near Tegeta Complex kapiga Duka la Kufa mtu,ukiangalia investment aliyoifanya na pamba alizoweka mle dukani ukipiga return yake ni vichekesho,kweli jamaa amejivika mwamvuli wa muuza pamba.
 

Haaaa,kumbe huyu dem naye wamemkamata wataliano,ndio maana sioni post zake fb na insta,kumbe hii ndiyo sababu!!!!
 
Hujui tu ila binafsi naamini hakuna biashara nzuri kama ya nguo hasa ukipata location nzuri,,wengi wanazarau hii biashara lakini mimi sitaiacha.
 



Wacha utoto bhana, huyo ni mzee wa sembe kwani ana vijana wake wanabamiza kweli ugali (unga).
 
jamii forum imewah wadondosha mawaziri....dr. mwaka hataisahau, maana hata kwenye tv kwa sasa vipindi vyake sivioni.
Naona upepo unamgeukia Hussein Pamba Kali....
kama ni mafanikio yake hongera, ila km ni unga aisee hutopita ukushatupwa humu jf.
Jf km ina laana fulani hivi...ikikutuhumu kupona ni majaliwa.
 
Wewe utakuwa umeporwa demu na huyo Hussein maana unachoandika hapa ni wivu tu wa kike.
 
Haaaa,kumbe huyu dem naye wamemkamata wataliano,ndio maana sioni post zake fb na insta,kumbe hii ndiyo sababu!!!!
Kakamatwa huko buruda Italy, kuna wakati huyo dem alikuwa anaenda sana kwa Pele alipiga trip kama 4 hivi alikuwa ana buruzaaaa mzgo na kuja nao bongo.
Narudia tena hata kama tanzania utalindwa lkn iko siku nje huko utanasa tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…