Husninyo Pokea Proposal

Husninyo Pokea Proposal

Amyner ndo ananiambia hapa kuwa kumbe Erick ni mlinzi wa nyumba ya dad wake amy kule Arusha. Duh!
 
Weka himaya madhubuti kaka hawa raia sio wazuri kabisa, halafu inabidi umpige biti Amyner aache kujilengesha kwao

unafikiri kaka nitty amy anajilengesha basi...wala!si unajua "water find its own level"...
 
Amyner ndo ananiambia hapa kuwa kumbe Erick ni mlinzi wa nyumba ya dad wake amy kule Arusha. Duh!

eboh!...ni mmasai nn?LOL..mwambie kama bado anaipenda iyo kazi,atulie!
 
Mkumbuke kuchangia JF pia msijaze server tu wekeni nia ya kuchangia walau buku kumi wiki ijayo ameen,wale vijana wa Manzese waliimba 'starehe gharama'.Naongea na nyinyi Mtei,erick, nitonye,bagah na sweetlady wenu.
Nimekusoma mkuu na naahidi kuichangia ingawa nimeoteza contact za kuchangia km vipi niforwadie kwenye PM
 
Mimi mchangiaji mzur wa JF. nichek ktk ile pcha ya wana JF walokuwa ktk mcba wa Regia pale Karimjee.
Dogo acha fiksi ungechangia hata buku kumi ungehamishiwa premium,we lazima una namba ya tigo maneno mengiii!
 
...mbona hamrudi?nataka kuondoka tafadhali mwenye zam aje!
 
Dogo acha fiksi ungechangia hata buku kumi ungehamishiwa premium,we lazima una namba ya tigo maneno mengiii!

Akaunti yangu ambayo nchangia nayo ndo iko premium. Nimestop kui2mia kwa sababu zlzo nje ya uwezo wangu. Hata Maxence anajua.
 
Hii shuhuli tusipokuwa makini itaharibika. Cantalisia ana ka ujauzito halaf anapewa uwenyekiti?. Je akijakupatwa na kichef chef cha ghafla akamtemea mate bihalusi?
Hahah hahah,
Habari yako binafsi loya,
Usijali siku hiyo nitavaa helement litazuia kutapika lol!
 
Hili sredi ukiondoka sekunde tu ukilejea imekula kwako.
Enhee nani mwengine kanidondokea baada ya kabanakabana, cantalisia na sweetlady? endeleeni kufunguka wadada, mkiwezeshwa mnaweza tu
Ww loya vp,mbona uliotutaja wote wake za watu?
Mie niko zangu na papa rejao tumepumzika zetu lol!
 
Back
Top Bottom