nitonye
JF-Expert Member
- Dec 18, 2011
- 7,349
- 3,904
Hivi nawewe Nitty unaziamini pumba za hawa walevi?
Unaweza ukasema ni walevi kumbe Amyner tayari ameshaangukia mikononi mwao
Hivi nawewe Nitty unaziamini pumba za hawa walevi?
Hahahaaaa hamuishiwi maneno eeeh...akuchuke weye walau ukapate misamiati michache ya kuzungumza na bi dada amy...maana iyo mama anapaa nairobi siku si nyingi...sasa akirudi,aibu yako braza!
Erick maneno matupu. Hajui kuwa zao la mjini ni pesa
Unaweza ukasema ni walevi kumbe Amyner tayari ameshaangukia mikononi mwao
Hivi hujasoma comment ya Amy hapo juu????Unaweza ukasema ni walevi kumbe Amyner tayari ameshaangukia mikononi mwao
Yan shem unafikiri hawa Bagah na Mtei wananiweza mimi?
Bado watoto wadogo kwa kila kitu labda umri tu....Mimi sioni mwingine kama Erick..nampenda yeye tu na Sitamuacha kamwe...I love you my dia Erick....
Mwaaaaaaaah
Hahahaaaa hamuishiwi maneno eeeh
Hivi mmeiona msg ya Amy au mnasoma comment Juu juu tu?anataka alime LAMI?...lol! huku kilimo cha pesa bana!
Unaweza ukasema ni walevi kumbe Amyner tayari ameshaangukia mikononi mwao
Hivi hujasoma comment ya Amy hapo juu????
Ngoja nikupe kwa hapa chini
Kweli nimeamini mwanaume wa siku hizi umbeya kazi kusutwa inaanza kuwa sunasilaha pesa, kisu mzigo
Hahahaaaaaaa la mkosajiumelialia kwenye inbox ya cmu na fb ndo maana kaamua kukupoza kwa maandish wakati mimi niko naye hapa.
Kweli nimeamini mwanaume wa siku hizi umbeya kazi kusutwa inaanza kuwa suna
Hivi hujasoma comment ya Amy hapo juu????
Ngoja nikupe kwa hapa chini
Hawa nishagundua nyundo haiwatoshi....dawa yao Popobawa...hivi hujamuona mahali kokote aje awashughulikie faster?Kaka nimukusoma ngoja tuwapige nyundo za utosini kwanza
Kweli nimeamini mwanaume wa siku hizi umbeya kazi kusutwa inaanza kuwa suna
Hivi hujasoma comment ya Amy hapo juu????
Ngoja nikupe kwa hapa chini
Mkumbuke kuchangia JF pia msijaze server tu wekeni nia ya kuchangia walau buku kumi wiki ijayo ameen,wale vijana wa Manzese waliimba 'starehe gharama'.Naongea na nyinyi Mtei,erick, nitonye,bagah na sweetlady wenu.
Hawa nishagundua nyundo haiwatoshi....dawa yao Popobawa...hivi hujamuona mahali kokote aje awashughulikie faster?