Cantalisia
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,221
- 2,930
Ungejua ni kitendea kazi!!!hakikisha lipua lake linanenepa
Naitunza sana pua hii lol!
Ungejua ni kitendea kazi!!!hakikisha lipua lake linanenepa
Ungejua ni kitendea kazi!!!
Naitunza sana pua hii lol!
Hahaha hahha,Unanyonya ilo kamasi la humo au??
Hahaha hahha,
Mwanakwetu mambo mengine hayafai kuwekwa hadharan jaman lol!
Mzima lkn?bado tuko hane muni!
Yani ww acha tu ndugu yangu,usijali mie na ww tena nitakung'ata sikio mwaya,duh....nahisi huo mpua una siri kubwa sana, mkitoka hani muni nitaomba walau uninong'oneze.... lolz!!! Btw, mi mzima kabisa, sijui wewe? ....msalimie dingi yenu!!
Yan huko kung'atana masikio ndo sikutaki....Yani ww acha tu ndugu yangu,usijali mie na ww tena nitakung'ata sikio mwaya,
Mie mzima kbs,salam zimefika mamito!
Heeheheh,Yan huko kung'atana masikio ndo sikutaki....
Ntaenda kusema kwa kaka...kusema kwa kaka....
Duh nilkuwa nafuatilia maongezi yenu ila hili la kutumia PUA kama kitendea kazi limenishtua....Ungejua ni kitendea kazi!!!
Naitunza sana pua hii lol!
Mi nahakikisha haibiwi mtu maana Kipipi anaweza kufanyia mpango wa Small Rejao....LolHeeheheh,
Hujaacha tu uafisa habari jamani lol!
Na ww unataka kung'atwa sikio?
Hahah hahah,
Habari yako binafsi loya,
Usijali siku hiyo nitavaa helement litazuia kutapika lol!
Hizi ni siri ya chumbani ni marufuku kuongelewa kibarazani atii,Duh nilkuwa nafuatilia maongezi yenu ila hili la kutumia PUA kama kitendea kazi limenishtua....
Ina maana Rejao huwa anatumia ile pua yake badala ya nanii yenyewe?
mh hii mpya Canta
Shauri yako yatakushinda maana unapenda kupinga kila kitu,Mi nahakikisha haibiwi mtu maana Kipipi anaweza kufanyia mpango wa Small Rejao....Lol
Sikubali
Hii Harusi mbona vinaanza kujiseti mapema hivi ? Angalia ! Utavaa HELMENT kwny harusi ya JUDGEMENT !
Amekubali kwa moyo mkunjufu.Husninyo amekubali au maana siredi ndefu mno mpaka kupitia yote nimeshindwa
Shauri yako yatakushinda maana unapenda kupinga kila kitu,
Mengine tuachie wenyewe jaman eric khaaaaaa!
Sisi hali ya hewa ilichafuka tangu usiku so hapa tulipo tuko chapachapa....Lol hata hatutamaniki natamani ungekuwa karibu utusaidie hata GlucoseHizi ni siri ya chumbani ni marufuku kuongelewa kibarazani atii,
Ww hebu mtafute Amy bana huoni hali ya hewa ilivo?
Hahahaaa hayo maneno mazito sana lolCanta , 52 mbona amehamanika namna hii ? Tangu jana ? Hapumui !
Au nimemjeruhi nini ?
Kama ndivyo tumsaidieje ?
Jeief imefilisika vimwana ?
Sijui nimshauri my wife 2 b , tuhamie Twiter ?
Tukatwiskie kule , au ?
Then naona anakuhoji sana about my husband wako Rejeo ,
anataka ajue hata idadi ya naniliu ... Ilikua vingapi !
Inakuajekuaje ?