Erickb52
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 18,554
- 11,485
Kaby 'Pyaaaaaa'pyaaaaaaaa!!
Kaby 'Pyaaaaaa'pyaaaaaaaa!!
Haaachwi mtu hapa
We ni mlinzi na Amy hana hadhi ya chini kiasi cha kuwa na wewe
Naona husband kaja kukutia nguvu, unaongea kwa kibri...haya umlete home soon.
Bora umuulize maana naona anakosa la kuongea na kubaki kupiga majungu tuhuyo b52 au mwingine??
Limbwata
Huoni Mtei anavyokufanyia ngoja nimwite Amyner kwanza
Mimi cna upweke. Naenjoy true love toka kwa Amyner
ukibisha itakula kwakonakubali. Kwani nimebisha?
Hahahaaaa kweli aisee yan unakuta page zimeongezeka mpaka hujui wapi uanzieHili sredi ukiondoka sekunde tu ukilejea imekula kwako.
Umeonae? We uliona wapi sredi ianzishwe leo sahizi iko pg 37? Mie hapa sibanduki tena!..Hili sredi ukiondoka sekunde tu ukilejea imekula kwako.
Enhee nani mwengine kanidondokea baada ya kabanakabana, cantalisia na sweetlady? endeleeni kufunguka wadada, mkiwezeshwa mnaweza tu
Hili sredi ukiondoka sekunde tu ukilejea imekula kwako.
Enhee nani mwengine kanidondokea baada ya kabanakabana, cantalisia na sweetlady? endeleeni kufunguka wadada, mkiwezeshwa mnaweza tu
Hili sredi ukiondoka sekunde tu ukilejea imekula kwako.
Enhee nani mwengine kanidondokea baada ya kabanakabana, cantalisia na sweetlady? endeleeni kufunguka wadada, mkiwezeshwa mnaweza tu
Huyu Mtei nahisi katumwa....ngoja nimwite Popobawa aje afanye mambo yake faster maana naona ndo dawa pekee iliyobakia kwa MteiHuoni Mtei anavyokufanyia ngoja nimwite Amyner kwanza
Hahahaaaa kweli aisee yan unakuta page zimeongezeka mpaka hujui wapi uanzie
Lol
Iko juu sana
Hahahaaaa kweli aisee yan unakuta page zimeongezeka mpaka hujui wapi uanzie
Lol
Iko juu sana
Umeonae? We uliona wapi sredi ianzishwe leo sahizi iko pg 37? Mie hapa sibanduki tena!..
Nitonye kwa mikwala bana! Hivi unajua bila mimi Tanzania haiwezi kupewa misaada na UN?Sweetylady naomba usimtaje tena kwenye kinywa chako plz pamoja na uanasheria wako nitakufunga
Amyner ameyachoka maumivu na visa vya Erick ndo maana amehtaj pumzko la moyo toka kwangu.
Nami cjawa na hyana. Nampa penzi la kweli.
Hope msg ya Nitty unaipata hapa....namimi nasema SitakiiiiiiiiAmyner naomba usimtaje tena kwenye kinywa chako plz