Husninyo Pokea Proposal

Husninyo Pokea Proposal

yaani wewe ndo gozo oops yaani wee ndo bozo kabisa.
Unaajiri janjaweed?

Nitty inabidi tufanye mkakati unaoitwa 'Linda usalama wa Amy na SweetLady' hata ikibidi kuwaajiri Klorokwini na Uporoto itakuwa sawa tu
 
Ujue sio powa kuchukuliana wake basi kama mchezo wenyewe ndio huu ole wake mtu amguse Sweetylady

kaka Nitty himaya yako siingii...labda ukiyumba...mwambie pacha wetu Ricky awe makini tu!
 
yaani wewe ndo gozo oops yaani wee ndo bozo kabisa.
Unaajiri janjaweed?
Dah hapo kweli nilichemsha hasa kwa Uporoto..
Klorokwini sina ubaya nae labda huyu mtalaka wa Husny ndo kimeo..
Anyway tunamtafuta mwingine
 
kaka Nitty himaya yako siingii...labda ukiyumba...mwambie pacha wetu Ricky awe makini tu!
Hata kwangu hamgusi ng'ooooo bakini na ndoto zenu....
Kwanza mtoto nimempiga marufuku kuingia JF mara kwa mara maana nahisi mate yanawatoka sana wanaume nyie
Lol
 
Wakati mi naandaa mkakati wa kukulinda na wewe then unaanzisha vijembe tena lol
Mwanamke wewe ushaanza maneno yako tena eeeh
Hivi kumwambia husband akusaidie ndio imekuwa vijembe tena? Khaaa..
 
kausha sasa
Hahahaaaa ujidai.....kwanza nasikia mtei Original ni mtoto wa shangazi yake mke wa binamu yako kwa mke wa mdogo wako kwa mama mdogo wako kwa babu yako mdogo upande wa bibi mzaa babu kwa nyumba ndogo yake ya kwanza....
Lol huna chako hapo
 
Back
Top Bottom