nitonye
JF-Expert Member
- Dec 18, 2011
- 7,349
- 3,904
Kuna nini hapa?
Nimekuta tuhuma hapa na wewe inasemekana ndio mhusika
Kuna nini hapa?
We ishia hapo hapo! Achanganyikiwe kwani kaibiwa mke?...kachanganykiwa
Sweetie are you good?Nimekuta tuhuma hapa na wewe inasemekana ndio mhusika
Kuna nini hapa?
Utabakia kuwa na Wish tu lakini hapo kwa Amy huwezi kwa kuwa huna siha hata kidogo!Hapana. Hakuna k2 kama hcho. Niko njian na Amyner 2naenda Mbalamwezi
Mmeniacha .,bye!usiku mwema
We ishia hapo hapo! Achanganyikiwe kwani kaibiwa mke?...
Jamani Kaby nimekumiss sana..Mmeniacha .,bye!usiku mwema
Nimekuta tuhuma hapa na wewe inasemekana ndio mhusika
Naambiwa hana tofauti na mwanzo, bado hasemi mtei, daaah! Mungu amponye jamani manake ana katoto kadogo sana...Hali yake inaendeleaje?
Acha ukuda wewe, nani kasema hatahudhuria??Kwanini usije?
Nawewe ni kama Mtei na Katavi?
Namaanisha wao walitangaza live sababu ya kuinga ndoa hii kuwa walimtaka Husny ila wakagonga mwamba.sasa wewe tatizo nini??
wewe ndo chanzo. Umempokonya Husny mumewe Uporoto
Sweetie are you good?
wifi unaenda wapi? Hapa ni party ya uchumba.
Inanihisu SL....Inakuhusu???
Utabakia kuwa na Wish tu lakini hapo kwa Amy huwezi kwa kuwa huna siha hata kidogo!
Kwanza kila uonacho wakitolea macho.....Mh umefulia mbaya ndo maana wamekuweka kamati ya ulinzi....
Hope unaijua status ya walinzi ilivyo.....
Dah wamekudhalilisha sana ningekuwa mimi ndo wewe ninge LOG OFF
Jamani Kaby nimekumiss sana..
Mzima?
Kwasababu mdogo wake kabakabana ndie anaetuhumiwa kuvunja ndoa ya husni na uporoto,We unadhan ni kwanini hataki kuhudhuria harusi ya JG na Husny
Husninyo...nani wa kuolewa hapa wifi?