Hao wanasiasa wanampinga Sheikh Yahaya lakini kila kukicha wanapishana vikumbo Kwenda Bagamoyo kutengenezwa,
Du, aliajiliwa lini? au anakiherehere cha kujipendekeza kwa wateja wake?Yahya Hussein ni mtu wa serikali (mwajiliwa wa Usalama wa taifa), kwa maana hiyo kila analo lisema limepangwa makusudi kabisa na watu wa usalama, kutibuwa akili za watu.
Ukikokotoa kwa kujumlisha, yaani kazi yake hii na utabiri wake wa awali uliozua mjadala mzito, utapata jibu la kutisha kuhusu kazi ya UWT.Yahya Hussein ni mwajiliwa wa usalama wa taifa... enzi ya nyerere kituo chake kikuu kilikuwa Nairobi Kenya. Pia aliwahi kupelekwa Botswana...!
Ndio ujuwe kuwa huyu mtu anatumwa, yaani yupo kazini!Ukikokotoa kwa kujumlisha, yaani kazi yake hii na utabiri wake wa awali uliozua mjadala mzito, utapata jibu la kutisha kuhusu kazi ya UWT.
Dont make me laugh X-PASTER Are simply saying because that is what you have heard? Tupe ushahidi wa hicho unachotaka kukisema! Huo usalama wa Taifa wa wapiga ramli uko Tanzania tu!Yahya Hussein ni mtu wa serikali (mwajiliwa wa Usalama wa taifa), kwa maana hiyo kila analo lisema limepangwa makusudi kabisa na watu wa usalama, kutibuwa akili za watu.
Kipi ninachokitaka kukisema? SijakuelewaDont make me laugh X-PASTER Are simply saying because that is what you have heard? Tupe ushahidi wa hicho unachotaka kukisema! Huo usalama wa Taifa wa wapiga ramli uko Tanzania tu!