OgwaluMapesa
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 10,942
- 428
Hussein bashe mkurugenzi mtendaji wa New Habari corporation anaendesha mchezo mchafu Arumeru Mashariki dhidi ya CDM .Jana wafuasi wa CCM walifunga barabara ya moshi-Arusha eneo la maji ya chai na kulishambulia gari lililokuwa limebeba waandishi wa habari na wafuasi wa CDM waliokuwa wakipita barabara hiyo.
Cha kushangaza Bashe kuhadi wa mafisadi ametuma pesa kwa waandishi wa habari waliopo Arumeru Mashariki, na kwa viongozi wa UVCCM waliopo Arumeru mashariki wakiongozwa na Beno malisa ili wafanye press conference kukihusisha CDM na vurugu zilizotokea jana.
Katika fungu la fedha zilizotumwa Arumeru Mashariki jeshi la polisi nao wamemegewa fungu lao na Husein Bashe .Jana jioni alisikika akimpigia kamanda wa polisi wa mkoa wa Arusha na kwa kamanda wa Operation Maalum Paul chagonja Akiwashauri wafanye press conference kulaani CDM Kuwa ndio chanzo cha vurugu zinazotokea Arumeru Mashariki na amewahidi Kusimamia coverage kwenye magazeti.
Wana CDM tujihadhari na Hussei Bashe ni mtu hatari ikumbukwe katika uchaguzi wa Igunga Tabora yeye ndie aliasisi wazo la kuwaonga wasimamizi wa vituo ili wamtangaze fisadi mwenzao Dr Kafumu kuwa mshindi ,Ni yeye ndie aliekuwa anaendesha operation chafu ya kunua kadi za wapiga kura wa Igunga .John F Kenedy US president 1961-1963 aliwahi kusema ''Forgive your enemies but never forget their name" Mwisho wa kunukuu ,Bashe uliotufanyia CDM ukishirikiana na Rostam Pamoja na january Tuliwasamehee lakini kamwe hatuwezi kusahau.
Tumesikia anakuja Arumeru na Lowasa tunamuonya kama anataka aendelee kuishi Nchii hii asikanyage Arumeru amuulizie Babu yake wasira what hapen to him!! Lesson tuliomfundisha Fisadi Mkapa sihitaji kuelezea wote ni mashaidi alipib tukampigia
Cha kushangaza Bashe kuhadi wa mafisadi ametuma pesa kwa waandishi wa habari waliopo Arumeru Mashariki, na kwa viongozi wa UVCCM waliopo Arumeru mashariki wakiongozwa na Beno malisa ili wafanye press conference kukihusisha CDM na vurugu zilizotokea jana.
Katika fungu la fedha zilizotumwa Arumeru Mashariki jeshi la polisi nao wamemegewa fungu lao na Husein Bashe .Jana jioni alisikika akimpigia kamanda wa polisi wa mkoa wa Arusha na kwa kamanda wa Operation Maalum Paul chagonja Akiwashauri wafanye press conference kulaani CDM Kuwa ndio chanzo cha vurugu zinazotokea Arumeru Mashariki na amewahidi Kusimamia coverage kwenye magazeti.
Wana CDM tujihadhari na Hussei Bashe ni mtu hatari ikumbukwe katika uchaguzi wa Igunga Tabora yeye ndie aliasisi wazo la kuwaonga wasimamizi wa vituo ili wamtangaze fisadi mwenzao Dr Kafumu kuwa mshindi ,Ni yeye ndie aliekuwa anaendesha operation chafu ya kunua kadi za wapiga kura wa Igunga .John F Kenedy US president 1961-1963 aliwahi kusema ''Forgive your enemies but never forget their name" Mwisho wa kunukuu ,Bashe uliotufanyia CDM ukishirikiana na Rostam Pamoja na january Tuliwasamehee lakini kamwe hatuwezi kusahau.
Tumesikia anakuja Arumeru na Lowasa tunamuonya kama anataka aendelee kuishi Nchii hii asikanyage Arumeru amuulizie Babu yake wasira what hapen to him!! Lesson tuliomfundisha Fisadi Mkapa sihitaji kuelezea wote ni mashaidi alipib tukampigia