Alichokiandika Agwambo ni sahihi 100%. Labda we mwanamagamba unataka kufunika mambo au akili yako haizunguki mara mbili.Kauli hizi zinachochea vurugu. Siamini kuwa mwandishi wa habari hii ni mzalendo mpenda amani. najua kuwa humu JF wako watu makini laki wapo pia ambao ni wavurugaji kama Agwambo.
Kama umetumwa kupiganisha watu ni afadhali ujiulize kwanza ni tija gani taifa litapata ni sio tu kile utakachopata wewe kama mtu binafsi.
USITUMIKE KUFANYA KAMPENI CHAFU.
Ni kitu ambacho nilitaka kuwatahadharisha CDM walikemee kwa nguvu zao zote. Kwenye gazeti la mwananchi la jana kuna matukio ambayo inaonekana dhahiri yanafanywa na ccm kuzingizia CDM. Mfano eti mtu kaenda kwenye mkutano wa ccm kavaa nguo za cdm kajitokeza katikati ya watu anaimba people powe! watu wakataka kumpiga eti Mwigulu kajitokeza kawaambia mwacheni afundishwe sera za ccm.Mfano wa pili kwenye gazeti hilo hilo eti wamejitokeza vijana wenye sare za chadema na kushambulia msafara wa waandishi waliokuwa kwenye msafara wa ccm na kuvunja kioo.
Ukweli ni kwamba ccm inaondoka kutoka chama cha siasa kuwa chama cha kigaidi. They are very desperate.
Kuna habari kuwa kuna vijana 200 wamewatoa Mara kufanya fujo na kuvuruga kampeni Arumeru kisha kuwasingizia CDM.
Huo ndio ukweli ccm are desparate and they are taking desparate actions