Musundi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 1,584
- 2,613
Waingereza wana msemo usemao:
"If you cheat me once, shame on you: If you cheat me twice, shame on me!!"
Anakuja mwanasiasa anakupa ahadi tamu unampa kura. Baada ya kupata madaraka anakataa makusudi kutekeleza ahadi hiyo tena wakati mwingine kwa kubadili maneno na kukana ahadi yake hiyo. Kisha miaka mitano inapoisha, anarudi tena kutoa ahadi ile ile!!
Nini kinachokuaminisha kuwa zamu hii ahadi hiyo itatekelezwa? Danganywa mara moja, ukikubali kudanganywa mara ya pili una matatizo wewe!
Wanasiasa wanatugeuza mazuzu kabisa. Inakera!!
"If you cheat me once, shame on you: If you cheat me twice, shame on me!!"
Anakuja mwanasiasa anakupa ahadi tamu unampa kura. Baada ya kupata madaraka anakataa makusudi kutekeleza ahadi hiyo tena wakati mwingine kwa kubadili maneno na kukana ahadi yake hiyo. Kisha miaka mitano inapoisha, anarudi tena kutoa ahadi ile ile!!
Nini kinachokuaminisha kuwa zamu hii ahadi hiyo itatekelezwa? Danganywa mara moja, ukikubali kudanganywa mara ya pili una matatizo wewe!
Wanasiasa wanatugeuza mazuzu kabisa. Inakera!!
