Billie
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 12,726
- 19,875
duuu kweli umepindaMimi hapa mkuu jiandaeni kuniapisha by 2020
duuu kweli umepindaMimi hapa mkuu jiandaeni kuniapisha by 2020
RasimiAlikuwa wapi siku zote kukanusha kwa kutoa taarifa rasimi?
Rais Magufuli hafurahishwi na mjadala unaoendelea juu ya kuongezwa kwa kipindi cha Urais kutoka miaka 5 hadi miaka 7.
View attachment 674687
Mkuu akikujibu nitaomba unijuzeNa je akishindwa nani atashinda 2020?
Umemchoka wewe kilaxa uliyefukuzwa kwa kuwa na cheti feki. Hasira yako kwake haisaidii JPM yupo hadi 2025. Mlitegemea Lowassa naye kawamwaga inabidi mpigie magoti prof Lipumba agombeeItakua vema pia kama atakaa hii miaka 5 pekee yake, itapendeza.
Mwambieni wananchi wamemchoka kama hatobadilisha staili ya uongozi wake ni bora aondoke 2020
Kipi kinatangulia kuku au yai?Rais Magufuli hafurahishwi na mjadala unaoendelea juu ya kuongezwa kwa kipindi cha Urais kutoka miaka 5 hadi miaka 7.
View attachment 674687
Hahahaaaaa mkuu kawaida hutoamini kabisa ila tarajia makubwaduuu kweli umepinda
Katiba nzuri iko kenya je imewasaidia au ndo kulialia kila kona. JPM atawanyoosha tu. Hii tabia yenu ya uvivu na kuomba omba kwa wajomba mwafaaKipi kinatangulia kuku au yai?
Jibu ni kuleta katiba mpya,hayo ya kutawala siku mmoja au kutawala hadi kufa yataelezwa kwenye katiba.Lakini mwendo huu wa kunyofoa jambo mmoja katika mambo millioni yatatuchelewesha kuwa na taifa pevu.
Hahaha! Pole sana kijana.Umemchoka wewe kilaxa uliyefukuzwa kwa kuwa na cheti feki. Hasira yako kwake haisaidii JPM yupo hadi 2025. Mlitegemea Lowassa naye kawamwaga inabidi mpigie magoti prof Lipumba agombee
Unaendelea wapi labda lumumbaRais Magufuli hafurahishwi na mjadala unaoendelea juu ya kuongezwa kwa kipindi cha Urais kutoka miaka 5 hadi miaka 7.
View attachment 674687
IMFNyumbu hawawezi furahishwa msimamo kama huu kwa sababu mwenyekiti wao alisha badili katiba yao kimyakimya na hawezi kupinga. Wao mwenyekiti wao ni wamaisha. Na wangepewa dola wangeng'ang'ania. Mungu atuepeshe!!.
Kwani sasa hivi kunamjadala wa rais kuongezewa miaka miwili mbona huu mjadala ni wamuda mrefuRais Magufuli hafurahishwi na mjadala unaoendelea juu ya kuongezwa kwa kipindi cha Urais kutoka miaka 5 hadi miaka 7.
View attachment 674687
Kunyoosha nini wafu?Katiba nzuri iko kenya je imewasaidia au ndo kulialia kila kona. JPM atawanyoosha tu. Hii tabia yenu ya uvivu na kuomba omba kwa wajomba mwafaa
Na IMF ni wapiga dili tuKatiba nzuri iko kenya je imewasaidia au ndo kulialia kila kona. JPM atawanyoosha tu. Hii tabia yenu ya uvivu na kuomba omba kwa wajomba mwafaa
Changa la macho... tunazugwa tuRais Magufuli hafurahishwi na mjadala unaoendelea juu ya kuongezwa kwa kipindi cha Urais kutoka miaka 5 hadi miaka 7.
View attachment 674687