Mpinzire
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 7,219
- 12,929
Anasema kamwe hatavunja Katiba.
Nashundwa kuelewa hapa..!
Kwani kuongeza mda wa urais ni kuvunja katiba? Japo kweli nisingependa aongeze mda lakini tukubaliane kuwa wanaisema hivo lengo la kwanza ni kuifanyia mabadiliko katiba ambapo itampa mamlaka ya kuendelea kugombea awamu nyingine na hapo ina maanisha hatokuwa amevunja katiba.
Sent using Jamii Forums mobile app