Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 34,417
- 80,124
- Thread starter
- #41
Mimi binafsi nimekuambia nina 6th sense namjua MTU mbaya na mzuri.
Huyu jamaa sio mtu mzuri Ila anachofanya anataka jamii imtafsiri vizuri.
Ukisoma barua. Yake utagundua katumia lugha ya falsafa Kama unavyojua lugha ya kifalsafa ni sawa na kujenga Nyumba yenye milango miwili unaweza kutokea nyuma au mbele.
Kwa nini unasema sio mtu mzuri?
Kwa upande wangu nimempa pongezi kutokana na ujumbe uliopo katika barua yake.
Sababu ya kujiudhulu.
Mlengwa wa sababu hiyo ambaye hajamtaja direct lakini maelezo yanamlenga Boss wake.
Aliyoyasema yote ni Kweli.
Sasa labda tujadili kuhusu Nia yake ambayo kwenye barua kasema Nia yake anataka kupata Amani ya moyo, na Amani ya moyo ni kuona Haki, maadili, Sheria za chama chake na katiba ya nchi ikifuatwa.
Kama anaagenda nyingine, kuithibitisha ni ngumu Sana.