prince john john
JF-Expert Member
- Aug 31, 2016
- 2,294
- 3,650
Tumsubiri mayala atasemaje...
Ingekuwa ni maelekezo, si angeteuliwa tu balozi mwingine yeye "akapangiwa majukumu mengine". Hii kitu imetoka kwa slow slow mwenyewe ukiangalia kwa umakiniKapigwa simu Mkuu
Tumsubiri mayala atasemaje...
Hii ni akili ya kucungia maandazi na vitumbua uswahiliniKalazimishwa kujiuzulu
Barua ya kujiuzulu haipo hivyo.
Hiyo barua imemshambulia boss wake moja kwa moja. Yaani mshale haukwenda pembeni.
Tuhuma zote kampa Boss wako.
Isome vizuri hiyo barua.
Barua za kushinikizwa hazikai hivyo,
Ukifikiria kwa upande wa staged event bado unaona haiingii
Msimpe Hongera ni mapema mno, maana KAZI ndiyo kwaanza anaianza. Tuliona walichomfanyia Mzee wa Nazaleti baada ya kulalamikia mikopo ya kila kukicha.
Polepole, hakukupi hongera, sisi yunakwambia ushayavagaa - pambana hadi mwisho - wenzako huku makanisa yanavunjwa!! Kisa ni kusema tu watu wanatekwa.
Mimi bado naamini ni staged event. Hadi upite mweziBarua ya kujiuzulu haipo hivyo.
Hiyo barua imemshambulia boss wake moja kwa moja. Yaani mshale haukwenda pembeni.
Tuhuma zote kampa Boss wako.
Isome vizuri hiyo barua.
Barua za kushinikizwa hazikai hivyo,
Ukifikiria kwa upande wa staged event bado unaona haiingii
Humprey kabla hajafika bei na kupewa cheo ndani ya chama alikuwa mtu na nusu......Kampeni yake ya kataha wahuni ni kampeni nzuri sana na ile falsafa yake ya mtu ukiwa umenyooka ndani ya sisiemu lazima mambo manne yakutokee.
Mkuu naomba uichambue barua yake vizuri bila hisia .Ni kweli.
Ingawaje madhaifu ya kibinadamu yapo kwani naye anamahitaji kama watu wengine.
Lakini jamaa yupo katika nafasi nzuri ya watu wenye msimamo unaoleweka wa upande wa kupigania haki
Hiyo defensive mechanism.
Hayo anayoyalalamikia kwa asilimia kubwa yeye ndo amekuwa akiyaratibu .
Ukifanya analysis unagundua huyu jamaa kafukuzwa Ila kaamua kuweka hiyo barua ili atafsirike kama hero.
Sijaona jambo la maana amendika hapo .
Mfano utawala wa awamu ya 05
-Kuua demokrasia
-utu
-Haki
Hii misingi alikuwa anaiaharibu yeye mwenyewe na Bashiru then Leo analalamimia mambo yaleyale aliyokuwa anayafanya .
Ukiwa na IQ ndogo utampongeza Ila this guy is not my hero.
Kaingia kwenye Anga za bibi😅Hapo bi ushungi ana andaa taarab ya kumjibia pole pole
Tufanye kafukuzwa KAZI.
Ujasiri wa kumsema Boss wako tena Rais wa nchi, tena hadharani ni Jambo kubwa ambalo asilimia 99.9 ya watanzania hawaliwezi.
Lakini yeye kaweza, hiyo pekee inatosha kumpongeza.
Kuhusu serikali ya Magufuli, ni kweli jamaa hakuwa active kupigania haki kwa watu wengine hasa vyama vya upinzani.
Zingatia huyohuyo Humphrey aliwhi kusema ndani ya nchi kuna genge la wahuni linaloongoza serikali.
Kauli yake hiyo na matendo ya awamu ya JPM na ambayo yaliendelea baada ya JPM unaitafsiri vipi?
Mkuu naomba uichambue barua yake vizuri bila hisia .
Then tuangalie maudhui ya barua tukipata maudhui tuanzie hapo.
Kwakuwa utawala wa awamu ya sita ni reflection ya utawala wa awamu ya tano kwa 90%.
Mimi binafsi nina 6th sense sio rahisi mtu anidanganye.
Kwahiyo pole pole ni Mtibeli?Mkuu utawala WA nchi hii nu uleule tangu nchi ipate Uhuru.
Hiyo swami ya tano, ya sita, ya nne, ya tatu na hata ya 7,8,9,10 zote zitakuwa zilezile tuu.
Hata wewe au Mimi ukiingia kupitia mfumo uliopo mambo yatakuwa hayahaya.
Polepole yeye tunampongeza kwa alichofanya Leo. Haimaanishi Hana mabaya au mazuri wakati uliopita.
Huwezi kua na akili timamu Wewe ni Mtanganyika ukakubaliana na uhuni wanayofanyiwa wakina LissuHii barua imempiga Rais moja kwa moja.
Aliposema mambo ya kukiuka maadili, sijui haki za binadamu na blabla zingine niliona amerusha kombora bila kuweka target
Lakini aliposema mambo ya January sijui kupitishwa bila kufuata kanuni ndio nikajua kombora limem-target boss mwenyewe.
Sasa haijulikani nini kitatokea, lakini uhakika ni kuwa atakuwa salama