Humphrey Polepole avamiwa na majambazi

Humphrey Polepole avamiwa na majambazi

Go go go Polepole, tuko nawe bega kwa neha, we can't let our country go to the dogs.
 
majambazi wa mbezi beach wastaarabu sana , yaani hawakuibii wala kujeruhi , wanapiga story na wewe nakukupa kampani hadi police wanapofika .Na kutambua ustaarabu huu polisi wanawaacha waende tu bila kuwatia mbaroni....
 
Una ushahidi au ni umbea wako wa kawaida tu?

mkuu sasa tukianza kuhoji kwamba mods humu wamesha nunuliwa na massm tutakua tunasema uongo?

Hai wezekani kichaa m1 akaleta uchochezi humu alafu mods wakafumbia macho jambo hili,

bila kuchukua hatua stahiki kwa mtu huyo!
 
Wangekaua tu hakana faida tena kwa umma! Polisi wanawahije kwa polepole na wakashindwa kuwahi kwa Kibanda? Usanii!!
 
Wote waliovamiwa kupigwa na kung'olewa meno na wengine kuuwawa
ni nani alihusika? huyo aliyehusika atakuwa huyohuyo anayeendelea
mpaka leo.
 
hahahahah hili tukio limenifanya nicheke Kwa nguvu! eti polis waliwahi kufika na hakuna kilichoibiwa
 
Ana hela gani ya kukaa Mbezi Beach huyo mwehu,, hao polisi wanakaa hapo hapo nyumbani kwake..? uongo mwingine wa kijinga sana
 
mkuu sasa tukianza kuhoji kwamba mods humu wamesha nunuliwa na massm tutakua tunasema uongo?

Hai wezekani kichaa m1 akaleta uchochezi humu alafu mods wakafumbia macho jambo hili,

bila kuchukua hatua stahiki kwa mtu huyo!

mkuu kwani huoni mtangazo wa pombe na mpicha wake hapo juu?yaani huu ni zaidi ya upumbavu!utaachaje thread kama hii inasurvive?mods sina imani nanyinyi
 
Eti kavamiwa lakini hakuna madhara, sasa huenda mtu anagonga getini kwa sababu hajiamini katika jamii anapiga simu polisi ili aseme navamiwa, ujinga ukivamiwa lazima kuwe na madhara hata kidogo lakini haina tabu maana huyu mtu ana tabia ya unafiki analeta unafiki hata kwa maisha yake kujitungia uongo aonekane ni public figure.
 
Nina wasiwasi na gazeti lililoandika habari hizi, ili tukio lilitokea saa ngapi, na zikalipotiwa saa ngapi, na zikaandikwa kwenye gazeti saa ngapi, na je, ili gazeti linachapishwa muda gani? Maana huyu PolePole hadi usiku wa saa tano alikuwa Channel 10.
 
Nina wasiwasi na gazeti lililoandika habari hizi, ili tukio lilitokea saa ngapi, na zikalipotiwa saa ngapi, na zikaandikwa kwenye gazeti saa ngapi, na je, ili gazeti linachapishwa muda gani? Maana huyu PolePole hadi usiku wa saa tano alikuwa Channel 10.
Absolutely that's an important point just startin for !
 
Nadhani Pia Tuwe Makini Wanataka Kututoa Kwenye Mada,Tuwe Makini Tujadili UPUMBAVU Na ULOFA Wetu, Je Nani Kutusababishia

Kama Sio CCM?
 
Back
Top Bottom