Humphrey Polepole atazungumza na umma leo Agosti 08, 2025 saa sita mchana

Humphrey Polepole atazungumza na umma leo Agosti 08, 2025 saa sita mchana

Just Pray

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
2,142
Reaction score
4,779
Wakuu, Taarifa kutoka ukurasa wa Polepole Instagram

==
Usikose itakuwa saa 6:00 Mchana tutakuwa LIVE Facebook, YouTube, Instagram na TikTok.

Nitasema jambo moja kubwa! Wale Vijana wakata swichi tambueni mnawatengenezea chuki Viongozi wetu, washaurini kwa unyenyekevu na kitaalam waambieni athari za kukata swichi watu wanakomaa na VPN zinazidi, kateni kama ni jambo la kufa na kupona lakini mnakata hata mapambano yetu dhidi ya wahuni, hapana, au na ninyi mko upande wa wahuni ?

Mjuze mwenzio.
 
Ingekuwa raia wa korea angenyongwa hadi kufa. Ila ashukuru tu yeye ni raia wa Tanzania.
 
Mazungumzo yake hufanya Facebook kuwa na mkwamo sana🤔
 
Ingekuwa raia wa korea angenyongwa hadi kufa. Ila ashukuru tu yeye ni raia wa Tanzania.
NI kweli kabisa, sema angekuwa raia wa Korea pia asinge pata vitu vya kuisema serikali yake

Korea sio ya kufanya vinavyofanywa na serikali ya Tanzania mda huu huwezi kukopa pesa zote hizo na bado miradi haiendi

Dar barabara zimefumuliwa kitambo sana mpaka leo hazijakamilika, ujenzi wa SGR kipande cha Makutupora-Isaka mpaka Mwanza kimelala
Ukiwa Mwanza pale Mkuyuni kuna kidaraja kidogo sana huu mwaka wa pili sasa kinajengwa na hakijakamilika

Maanaake ni nini tungekuwa Korea Rais angekuwa jela mda huu, huwezi kukopa pesa zote hizo na hazijulikani ni wapi zimeenda
 
Wakuu, Taarifa kutoka ukurasa wa Polepole Instagram

==
Usikose itakuwa saa 6:00 Mchana tutakuwa LIVE Facebook, YouTube, Instagram na TikTok.

Nitasema jambo moja kubwa! Wale Vijana wakata swichi tambueni mnawatengenezea chuki Viongozi wetu, washaurini kwa unyenyekevu na kitaalam waambieni athari za kukata swichi watu wanakomaa na VPN zinazidi, kateni kama ni jambo la kufa na kupona lakini mnakata hata mapambano yetu dhidi ya wahuni, hapana, au na ninyi mko upande wa wahuni ?

Mjuze mwenzio.
Km jamii tunayoitegemea kujenga nchi ni km ww kamwe hatutatoboa. Sasa huyo nguchiro amekimbia ulaji leo amekuwa mtu wa maana? Vijana wa nchi hii ni aibu na janga
 
Wakuu, Taarifa kutoka ukurasa wa Polepole Instagram

==
Usikose itakuwa saa 6:00 Mchana tutakuwa LIVE Facebook, YouTube, Instagram na TikTok.

Nitasema jambo moja kubwa! Wale Vijana wakata swichi tambueni mnawatengenezea chuki Viongozi wetu, washaurini kwa unyenyekevu na kitaalam waambieni athari za kukata swichi watu wanakomaa na VPN zinazidi, kateni kama ni jambo la kufa na kupona lakini mnakata hata mapambano yetu dhidi ya wahuni, hapana, au na ninyi mko upande wa wahuni ?

Mjuze mwenzio.
Leo tena jamani?
Mimi naona aseme yote amalize maana tangazo hili likitoka tuu ni usumbufu kwa watumiaji wengine wa mtandao
 
Back
Top Bottom