Ukijua kiundani maana ya TISS na vitengo vyake ( categorization) unaweza gundua hata informant Ambaye ni Mbea tu anaweza akatumiwa Kwa KAZI za TISS na asiwe TISS. TISS is more than a title it is a role and purpose behind it. Kuna watu humu SIO TISS ila najua kabisa wanapenyeza na kupenyezewa TAARIFA Ambazo ni very crucial Kwa TISS humu jukwaani.
Mfano Kuna post Ambazo kitengo ikiziona Huwa wanaweka Kambi hapo na kukusanya au kufatilia taarifa hizo kiundani na zinaweza zikawa zimetoka Kwa MTU WA Kawaida tu (mere man). Kwamfano Nina jua account za watu kama 10 hivi Top spy wa nchi wanazitumia kudondosha taarifa indirect na wanaweka Kambi kwenye hizo account kuangalia reaction ya watu.
Wanayoyafanya kina Polepole wameyapima muda mrefu sana na wanajua faida zake na hasara na maamuzi Mfano ya Polepole yako very calculated na wanakikundi Chao kabisa chenye nguvu ya dora kama vile TISS na Vyombo vya usalama vinawapa backup na soon Movement Yao itasambaa na wataungana na wapinzani wa kweli Kudai mabadiliko SI Kwa kujiunga na wapinzani Bali kusukuma kete za wapinzani Ili wapate nguvu ya umma na pia WA win trust Hadi ya wapinzani (CHADEMA). Na ndio máana kuna SIku nilitaja Hapa Kuwa ORDER OF POTENTIAL CANDIDATE AND PROSPECT CANDIDATE FOR PRESIDENCY NI GWAJIMA THEN LISSU.... kwanza niweke koma Hapa Niko safarini mpeni salamu Mh. MAJALIWA...LUAGA MPINA...POLEPOLE...HECHE...LEMA...GWAJIMA...LISSU...SLAA... na wale WAZEE walio jiuzuru they combo will be unstoppable