myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 174,792
- 721,062
KUNA JAMBO FULANI LINAKUJA
NadraNje ya mada, je inawezekana kuwa Balozi wa Tz nje ya nchi usiwe TISS?
Sawa shukurani.Nadra
Kumbe ulisoma azania tunaweza kua tunafahamianaTangu azania tunamjua
Nje ya mada, je inawezekana kuwa Balozi wa Tz nje ya nchi usiwe TISS?
Balozi ni Mwenyekiti wa Kamati ya ulinzi na usalama kimataifa .Nje ya mada, je inawezekana kuwa Balozi wa Tz nje ya nchi usiwe TISS?
KabisaKumbe ulisoma azania tunaweza kua tunafahamiana
Unawezaje kuwa TISS bila kozi?SIO kila balozi ni TISS and by the way Hata wewe apo unaweza ukawa TISS ila bila kujitambua mkuu.
Aiseeee, hivyo lazima awe.....Balozi ni Mwenyekiti wa Kamati ya ulinzi na usalama kimataifa .
Mkuu tunza hiyo
Hapa ndo hawa jamaa wanavyotuweza unakuta miaka na miaka anatufanyia ushenzi halafu anasoma upepo akiwa nje ya system anajifanya kurudi kwetu.Huyu ndio polepole OG wa enzi za mabadiliko ya katiba, alipokua mwenezi alivaa ngozi ya kondoo kumbe ni chui. Balozi ni chui kweli kweli, sasa ameuvaa uhalisia wake,
KARIBU TANZANIA
Sidhani kama Slow Slow ataikataa 'asali'. Tusubiri baada ya October 2025Huyu ndio polepole OG wa enzi za mabadiliko ya katiba, alipokua mwenezi alivaa ngozi ya kondoo kumbe ni chui. Balozi ni chui kweli kweli, sasa ameuvaa uhalisia wake,
KARIBU TANZANIA
Majini againukikutana na majini usirudi
100%SIO kila balozi ni TISS and by the way Hata wewe apo unaweza ukawa TISS ila bila kujitambua mkuu.
Dkt Slaa alikua Tiss?Nje ya mada, je inawezekana kuwa Balozi wa Tz nje ya nchi usiwe TISS?