Humphrey Polepole ana codes

Humphrey Polepole ana codes

Huyu ndio polepole OG wa enzi za mabadiliko ya katiba, alipokua mwenezi alivaa ngozi ya kondoo kumbe ni chui. Balozi ni chui kweli kweli, sasa ameuvaa uhalisia wake,
KARIBU TANZANIA
Sio kwa njia ya kawaida lazima atasafiri kwa maelekezo asije geuka jiwe la chumvi over...
 
Kama Magufuli pamoja na kuusikilizisha umma utaahira wa Makamba na Napę hakuona sababu ya kuuwa ndoto zao za muda mrefu wa siasa.

Hawa walio wakata leo watu hao hao (ambao most likely itakuwa wameropoka tena).

Lakini waliowakata leo huko chini unadhani wanafikiria siasa za 2025 au kuondoa influence yao come 2030.

Huyo mama ni mateka tu wa mafisadi, hajui hata anachokifanya hapo Ikulu.

Mtanikumbuka kwa mema sio kwa mabaya hiyo message sio muda mrefu ita make sense kwa watu naive kama Napę na Makamba; ambao walikuwa wanamtukana Magufuli na account fekero humu,

Be real and stand on what you believe, eventually things will fall into place; that’s life,
True or false... za uchochoroni hao ni mahasimu wawili toka baba na sasa watoto.. ukitaka muuwa agent mpelekee wakufanana naye but mission moja
 
Ukitaka kujuwa mambo yatakuwa moto mpaka kila mtu aimbe wimbo wa Taifa chumbani... nani mwenye codes za serikali yatano... ukiangalia move ya Kakoko, alafu Makamo, next Majaliwa huwitaji macho sita unahitaji kujuwa drop ina sababu.. Sema sasa hao jamaa ni miamba walikuwa karamu ya mwisho na hiyo karamu hata hao wana angaika nao hawakuwepo wengine wamesema wanarudi uraiani wamekoma utumishi boss hasomi mchezo hasomi maandiko Vile maafa ya sodoma na gomora yalitokea same princple inatumika kwenye huu mchezo... Israel wana principe ina itwa samson principal... over
 
Wewe kibaka na huyo Polepole mtueleze Ben Rabiu Saanane mlimfanyia yote yale kwa sababu gani , wakati alitoa maoni binafsi kama katiba inavyompa mtu uhuru kutoa maoni .

Polepole hajamaliza baada ya hili aombe radhi kwa yaliyofanywa akiwa kwenye kile kiti enzi za dikteta wa Chato.

Leo hii Chato ni kama Gbadolite kwa Joseph Mobutu.

Madaraka ni kitu cha kupita usiumize watu kisa madaraka hata huyu Samia atapita na kutoka hapo juu kuna watu watakuja kujifanya wasafi baada ya kuwa nje ya viti vya maamuzi wakati kipindi wapo walivitumia kuumiza watu.

Maisha anayoishi mjukuu wa mzee Kibao tangu mwaka jana sio sawa na anayoishi mjukuu wa Samia naye aitwaye Samia maana yule wa mzee Kibao tuliomuona kwenye picha akiwa na babu yake hana babu tena wa kucheza nae na kumsimulia hadithi wakati wa Samia anaishi katika raha bila kuwaza hata kuna kutekwa ,kutolewa macho na kumwagiwa tindikali maana anaye babu anayelindwa 24/7 huku akisikia kauli ya kishenzi kwamba babu yake amekufa sababu kifo ni kifo.

Wajukuu hawa wawili daima wakikutana nadhani hakutakuwepo na usalama huko siku za usoni.

Kwenye hili bado Polepole anadaiwa madeni yake ya awamu ya 5.
Polepole anasameheka kuliko huyo vampire aliyekunywa damu ya mzee kibao
 
Mh Balozi amejiuzulu akiwa nje ya Taifa. Ila kwa sisi wana kusaka codes taarifa zinatuambia yule kijana ni mzalendo wa shule moja pendwa Aza Boy. Ama u aweza sema Azania.

Ameshika nafasi nzito na pia amekaa karibu na washika button na wakati mwingine alikabidhiwa azishike je nani ako nyuma yake?

Tafuta mwenyewe ukikutana na majini usirudi kutusimulia... Remember JPM. End
Ulikuwa na point ila kumtaja Jiwe umeharibu. Huyo alikuwa laana ya Taifa
 
Ones Azania, always Azania!
Azania ni Top market kwenye vetting ya watu wa Tiss. Azaboy Ni kitovu cha kuchakata vipenyo!.
 
Wakati mko bize na Mh. Balozi Polepole mjue sie CCM tupo bize na mchakato wa Uchaguzi Mkuu! Tusijelaumiane huko mbele!!
Mgombea urais bado hamjampata. Mchakato wenu wa kumpata mgombea urais utakapoanza ndio utajua kumbe hamkuwa bize
 
KATIBU MKUU WA CHAMA(mtendaji mkuu wa chama!) KUWA MGOMBEA MWENZA!....? Mmeona wapi hili kokote kule duniani?!

Hili tu linaharamisha uteuzi wa mgombea kupitia chama chake! Kwa maana mtendaji mkuu wa chama kinachoteua, tayari ni mnufaika wa uteuzi! Maana ni mgombea mwenza!

Polepole ana vingi...muda utaongea
 
Back
Top Bottom