Kwa mjibu wa aliyenijibu yamkiniDkt Slaa alikua Tiss?
Atakuwa kama Gwajima tu, ataufyata kimya, yupo wapi Gwajima? Kanisani hayupo msikitini hayupoMh Balozi amejiuzulu akiwa nje ya Taifa. Ila kwa sisi wana kusaka codes taarifa zinatuambia yule kijana ni mzalendo wa shule moja pendwa Aza Boy. Ama u aweza sema Azania.
Ameshika nafasi nzito na pia amekaa karibu na washika button na wakati mwingine alikabidhiwa azishike je nani ako nyuma yake?
Tafuta mwenyewe ukikutana na majini usirudi kutusimulia... Remember JPM. End
Usikute na yy chalii.....Umenikumbusha kuhusu mzee wa jalalani Prof..Kabudi. anaendeleaje huko Kilosa
Huyu alivoona wenzie wamenyolewa, yeye akajua the next; kachukua hatua. Wanasiasa bana....Ila sisi wepesi sana kusahau.
Mzee wa vieiteee Leo katema bungo Kawa shujaa.
Pole sana... yaani hapa tunaenda kujaa pwaa mara baada ya uchaguzi mambo iyena iyenaHuyu ndio polepole OG wa enzi za mabadiliko ya katiba, alipokua mwenezi alivaa ngozi ya kondoo kumbe ni chui. Balozi ni chui kweli kweli, sasa ameuvaa uhalisia wake,
KARIBU TANZANIA
How it is started ... How it is going...!Mh Balozi amejiuzulu akiwa nje ya Taifa. Ila kwa sisi wana kusaka codes taarifa zinatuambia yule kijana ni mzalendo wa shule moja pendwa Aza Boy. Ama u aweza sema Azania.
Ameshika nafasi nzito na pia amekaa karibu na washika button na wakati mwingine alikabidhiwa azishike je nani ako nyuma yake?
Tafuta mwenyewe ukikutana na majini usirudi kutusimulia... Remember JPM. End
Kweli umeongea na kugambageJf hii nayo imekuwa mzigo kwa wasomaji ...wajadiri hoja wamekuwa na mitizamo milani mno na hiki ni kipimo cha upana wa elimu yetu kwa sahivi. Elimu yetu haiwafanyi wasomi wetu kuwa GT tena ...inasikitisha sana tofauti na miaka kumi iliyopita jukwaa lilijaa watu wa kuweza kufumbua mafumbo na mitego ya kilugha, leo lugha ndogo kabisa lakini bado watu hawaelewi nini kinazungumzwa na mzungumzaji
Wakati wa JPM alikua mstari au upende hupi?How it is started ... How it is going...!View attachment 3404757
Hakuna lolote kelele za chura tembo anapiga kinywaji tu.KUNA JAMBO FULANI LINAKUJA
WEOs na VEOS ni wenyeviti wa kamati za ulinzi na usalama Kata/Vijiji.Balozi ni Mwenyekiti wa Kamati ya ulinzi na usalama kimataifa .
Mkuu tunza hiyo
Alijua safu mpya hatokuwako akaamua kujisepesha mapemaMh Balozi amejiuzulu akiwa nje ya Taifa. Ila kwa sisi wana kusaka codes taarifa zinatuambia yule kijana ni mzalendo wa shule moja pendwa Aza Boy. Ama u aweza sema Azania.
Ameshika nafasi nzito na pia amekaa karibu na washika button na wakati mwingine alikabidhiwa azishike je nani ako nyuma yake?
Tafuta mwenyewe ukikutana na majini usirudi kutusimulia... Remember JPM. End
Kuna watu wanapenda kulalamika bila sababu sijui wana shida gani! Humphrey kaona sasa ni wakati sahihi yeye kuachana na dhambi bado mnataka apigwe mawe kwa dhambi alizowahi kuzitenda! Sasa maana ya yeye kusema hataki dhambi anatubu kama alivotubu ndugai,kinana,mpango,majaliwa imekua nongwa! Au mnamuogopa?Wewe kibaka na huyo Polepole mtueleze Ben Rabiu Saanane mlimfanyia yote yale kwa sababu gani , wakati alitoa maoni binafsi kama katiba inavyompa mtu uhuru kutoa maoni .
Polepole hajamaliza baada ya hili aombe radhi kwa yaliyofanywa akiwa kwenye kile kiti enzi za dikteta wa Chato.
Leo hii Chato ni kama Gbadolite kwa Joseph Mobutu.
Madaraka ni kitu cha kupita usiumize watu kisa madaraka hata huyu Samia atapita na kutoka hapo juu kuna watu watakuja kujifanya wasafi baada ya kuwa nje ya viti vya maamuzi wakati kipindi wapo walivitumia kuumiza watu.
Maisha anayoishi mjukuu wa mzee Kibao tangu mwaka jana sio sawa na anayoishi mjukuu wa Samia naye aitwaye Samia maana yule wa mzee Kibao tuliomuona kwenye picha akiwa na babu yake hana babu tena wa kucheza nae na kumsimulia hadithi wakati wa Samia anaishi katika raha bila kuwaza hata kuna kutekwa ,kutolewa macho na kumwagiwa tindikali maana anaye babu anayelindwa 24/7 huku akisikia kauli ya kishenzi kwamba babu yake amekufa sababu kifo ni kifo.
Wajukuu hawa wawili daima wakikutana nadhani hakutakuwepo na usalama huko siku za usoni.
Kwenye hili bado Polepole anadaiwa madeni yake ya awamu ya 5.