TOKA MAKTABA :
Mexico City
20 August 1940
Hatima ya Leone Trotsky uhamishoni
Picha : Leone Trotsky ktk mazungumzo na umma kila mara alipokuwa uhamishoni
Leon Trotsky mkosoaji wa utawala wa Russia ya Kisovieti akiwa uhamishoni Turkey, France na kisha Mexixo alikuwa mwiba mkali kwa matumizi ya teknolojia ya mawasiliano kuwasiliana na waliobaki ndani ya Russia ya Kisovieti na pia wafuatliaji walio katika diaspora, akiwasiliana nao kwa mazungumzo, maandishi ya kuchochea mabadiliko na kuondoka utawala nganganizi wa Joseph Stalin
Kifo cha Leon Trotsky mkosoaji mkuu wa utawala wa Joseph Stalin wa Russia ya Kisovieti katika jiji la Mexico City, akiwa uhamishoni mbali na nyumbani
Tarehe 20 Agosti 1940 akiwa Mexico city uhamishoni baada ya kukwepa utawala wa mkono wa chuma wa Russia ya Kisovieti ashambuliwa kwa kupigwa na mhafidhina chawa ....
Kihistoria wakati wa makuzi ya Leon Troisky kuanzia mwaka ...Russia ya Kisovieti iliona idadi ya watu ikikua sambamba na umasikini wa kutupwa ...
Huku mabwanyeye wa kitaifa bourgeoisie wakileta maendeleo ya vitu kama uchimbaji wa makaa ya mawe, ujenzi wa miundo mbinu ya reli ikijengwa kuifungua nchini ..
Hata hivyo pamoja na maendeleo ya vitu ... pia makundi yenye mawazo mbadala tunduizi pia yakizidi kukosoa na kujadili hali ya kisiasa, kiuchumi na kijamii iliyoshindwa kuleta ugawaji keki ya kitaifa kwa maendeleo ya watu na hivyo kundi la watu tunduizi kuongeza vuguvugu la mabadiliko ...
MFAHAMU ZAIDI TROTSKY : bofya :
On May 29th there were approximately 45 people present at the Simon Bolivar Cultural Centre in Montreal, Canada, to attend a round-table discussion with Celia Hart and Jorge Martin. This event was organized by the International Marxist Tendency and was entitled “Permanent Revolution and...
www.marxist.ca