Damaso
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 6,195
- 10,709
Ndio shida yao! Ukishazaliwa binadamu ni lazima ukubali kupokea ukosoaji, hata manabii wa Mungu walipitia magumu ili wapate kufanya kazi ya Mungu vyema!Wameziba masikio na kujikuza kupita Jamhuri / Republic na kujivika ufalme / umalkia wakidai ni Mungu ndiyo amewachagua na mbaya zaidi baadhi ya viongozi wa kiroho / imani nao wamehongwa kurudia wimbo ni Mungu ndiyo aliyemsimika kiongozi wa CCM kuwa rais
Sasa Rais anaungwa mkono na wachawi mara machifu baadaye wachungaji na masheikh yaani ni kulazimisha kula ugali pilau na mlenda pamoja na Konyagi wakati mmoja