Humphrey ahukumiwe kifo in absentia

Humphrey ahukumiwe kifo in absentia

1. Kwanini Mheshimiwa asihukumiwe kifo in absentia? Siku akikamatwa ni utekelezaji tu ufanyike pale Uwanja wa Uhuru mchana peupe ili iwe fundisho kwa wote

2. Anatumia lugha ya kuudhi na uhaini. Adhabu yake NI KUNYONGWA HADI KUFA.
Kwa kifungu kipi kusema vile ndo auwawe?acha migemuko wewe
 

Humphrey PolePole kuzungumza na Umma kesho tarehe 1/9/2025 saa 3 usiku.​

 
1. Kwanini Mheshimiwa asihukumiwe kifo in absentia? Siku akikamatwa ni utekelezaji tu ufanyike pale Uwanja wa Uhuru mchana peupe ili iwe fundisho kwa wote

2. Anatumia lugha ya kuudhi na uhaini. Adhabu yake NI KUNYONGWA HADI KUFA.
We kummer embu tuliza hicho ki-nyeo weekend hii.
 
1. Kwanini Mheshimiwa asihukumiwe kifo in absentia? Siku akikamatwa ni utekelezaji tu ufanyike pale Uwanja wa Uhuru mchana peupe ili iwe fundisho kwa wote

2. Anatumia lugha ya kuudhi na uhaini. Adhabu yake NI KUNYONGWA HADI KUFA.
Kwanini usianze kunyongwa wewe ukawa wa mfano mkuu
 
Spana za polepole ni za kizalendo Sana,muache asafishe chama kama kakugonga huwezi kumsifia.
 
1. Kwanini Mheshimiwa asihukumiwe kifo in absentia? Siku akikamatwa ni utekelezaji tu ufanyike pale Uwanja wa Uhuru mchana peupe ili iwe fundisho kwa wote

2. Anatumia lugha ya kuudhi na uhaini. Adhabu yake NI KUNYONGWA HADI KUFA.
 

Attachments

  • IMG_5956.jpeg
    IMG_5956.jpeg
    142.1 KB · Views: 23
1. Kwanini Mheshimiwa asihukumiwe kifo in absentia? Siku akikamatwa ni utekelezaji tu ufanyike pale Uwanja wa Uhuru mchana peupe ili iwe fundisho kwa wote

2. Anatumia lugha ya kuudhi na uhaini. Adhabu yake NI KUNYONGWA HADI KUFA.
Wewe subiria tu Oktoba ukatiki, Polepole humuwezi, unachoweza ni kutiki tu.
 
1. Kwanini Mheshimiwa asihukumiwe kifo in absentia? Siku akikamatwa ni utekelezaji tu ufanyike pale Uwanja wa Uhuru mchana peupe ili iwe fundisho kwa wote

2. Anatumia lugha ya kuudhi na uhaini. Adhabu yake NI KUNYONGWA HADI KUFA.


Da kweli hii nchi ina madikiteta mpaka jamii forums. Kakosea nini mpaka auwawe? Au na wewe ndo miongoni mwa wale 10 waliotumwa kumtafuta[rejea mchango wa dr slaa kwenye sauti ya mtanzania.]
 
1. Kwanini Mheshimiwa asihukumiwe kifo in absentia? Siku akikamatwa ni utekelezaji tu ufanyike pale Uwanja wa Uhuru mchana peupe ili iwe fundisho kwa wote.

2. Anatumia lugha ya kuudhi na uhaini. Adhabu yake NI KUNYONGWA HADI KUFA.
Mtataga mafii hivi karibuni
 
Najua unaanzisha nyuzi km hizi upate maoni ya wadau.

Kwa uapande wangu wewe ndo ulitakiwa uuwawe tena hadharani maana mbumbu yeyote ktk familia ni mzigo. Sjui umenielewa?
 
Kwanin alieingiza kontena la silaha kwa ajili ya utekaji asinyongwe!!?
 
1. Kwanini Mheshimiwa asihukumiwe kifo in absentia? Siku akikamatwa ni utekelezaji tu ufanyike pale Uwanja wa Uhuru mchana peupe ili iwe fundisho kwa wote

2. Anatumia lugha ya kuudhi na uhaini. Adhabu yake NI KUNYONGWA HADI KUFA.
Kamnyonge ili wewe uishi. Wenye kufanya uhaini huko serikali na viongozi wake hamfungui nyuzi ili wahukumiwe bali wanaosema ukweli wa mambo.
 
Back
Top Bottom