Kuna mpuuzi mmoja anayejifanya kahitimu sijui sayansi ya kichochoro gani anabisha mpaka anatokwa povu kuwa hakuna kitu kama hiki...vema akaficha upumbavu wake kwa kukaa kimyamshana hiyo hapo View attachment 331138
Waache hao mkuu maana watakuja kukumbuka shuka wakati kumekucha. Wazungu huwa hawajali kitu kitachukua muda gani ilimradi wanaona mafanikio. Wakati sisi tukilala na kufuatilia vitu vya kipumbavu wao wanakesha maabara kujaribu vitu vipya.Hawa ndio huwakuta kutwa kucha wanasoma magazeti ya udaku na ukimkuta mtandaoni basi ni insta fb badoo na ngono
Hakuna wa kuyazuia haya mkuu maana vitabu vitakatifu vimeshayatabiri. Bado kitambo kidogo sanaMimi najua mkombozi wetu atakuwa North Korea,ngoja nianze kujiandaa kukimbia
Basi hakuna atakayeiona mbingu,una maana hiyoHakuna wa kuyazuia haya mkuu maana vitabu vitakatifu vimeshayatabiri. Bado kitambo kidogo sana
Hakuna sehemu nimeandika kwamba hakuna atakeiona mbingu, soma vizuri ufunuo wa Yohana sura ya 13 utaelewa.Basi hakuna atakayeiona mbingu,una maana hiyo
Yaanii hii nilikua naisoma zamani kwenye mtandao wa David Icke na Google pia nilikuaYani iko hivi microchip ni mbadala wa ATM card scanner, passwords nk... Kila kitu chako kitaunganishwa kwenye hiyo chip ambayo utawekewa mwilini mwako
Kwahiyo popote uendapo au Chochote ufanyacho serikali Itakuwa inakumonitor
Hakutakuwa na kadi za bima ya afya vitambulisho vya taifa passport kadi za chanjo bali ni kachip kadogo tu kalikofungwa mwilini mwako katakuwa na habari zako zote
na watakuja na sababu ambazo kiuhalisia utaona zina msingi saana lakini ndio mwisho wa uhuru wa binadamu. Ni kweli hachomoki mtu, lakini pia madhara kiafya lazima. Mshana jr
Kuna ambazo zimewaletea watu mzio na kuna kesi chache za kansa kuna picha nimeattachYaanii hii nilikua naisoma zamani kwenye mtandao wa David Icke na Google pia nilikua![]()
![]()
na watakuja na sababu ambazo kiuhalisia utaona zina msingi saana lakini ndio mwisho wa uhuru wa binadamu. Ni kweli hachomoki mtu, lakini pia madhara kiafya lazima. Mshana jr
Kuna umuhim wa kufa mapema kabla ya hii kitu haijafika huku
wee jaamaa!!Nullpointer ni term inayotumika kwenye Sayansi ya Computer na C++ ni moja ya object oriented language katika sayansi ya computer hivyo nafikiri ni mtaalamu wa computer...aliyeleta wazo la kuhifadhi data kwa kutumia computer badala ya files za kawaida,alipingwa sana kwasababu kiuhalisia wakati huo walikuwa hawahui ni kwa namna gani itawezekana ila ilikuja kuwezekana.So hata hiyo microchip itawezekana na DW,BBC hata yahoo wameandika kuhusu hilo na maonesho ya Hannover hiyo tech. wameionesha pia.Itawezekana tu labda kifo tu ndo kitawashinda mkama cell of living organism wana-uwezo wa kumtengeneza why microchipShort story, haipo na haijawahi kuwepo, hii story ilikuwepo miaka zaidi ya 20 sasa, hiyo microchip hakuna aliyeiona hata moja, watu wanatunga story wanazipublish hewani wajinga ka wewe mmejaa mnapenda sana kuzisoma, mnafungua mnasoma watu wanapiga hela. Mmeshika dini vibaya sana, kila mnachoambiwa mnaamini, hehe dont be stupid
hayo maonyesho ya kuwekewa microchip nimeyaona kupitia tv za ujerumani. Kuna watu walijitokeza na kuwekewa katika viganja vyao vya mikono kwa juu kati ya kidole gumba na kidole cha shahada.Nullpointer ni term inayotumika kwenye Sayansi ya Computer na C++ ni moja ya object oriented language katika sayansi ya computer hivyo nafikiri ni mtaalamu wa computer...aliyeleta wazo la kuhifadhi data kwa kutumia computer badala ya files za kawaida,alipingwa sana kwasababu kiuhalisia wakati huo walikuwa hawahui ni kwa namna gani itawezekana ila ilikuja kuwezekana.So hata hiyo microchip itawezekana na DW,BBC hata yahoo wameandika kuhusu hilo na maonesho ya Hannover hiyo tech. wameionesha pia.Itawezekana tu labda kifo tu ndo kitawashinda mkama cell of living organism wana-uwezo wa kumtengeneza why microchip