Human microchips analysis

Mshana Jr

Platinum Member
Aug 19, 2012
269,634
697,845
Ni aina mpya ya utumwa, aina mpya ya kutawaliwa na kufanya hata Yale usiyoyapenda la Sivyo unakufa... Uzazi wa mpango madeni magonjwa nk vitakuwa controlled kutoka huko kwa wenye nguvu
Kwa sasa wengi hawaelewi wala kujitambua kuhusiana na hili lakini kiukweli ni kwamba TUMEKWISHA...!!! Naweka baadhi ya shuhuda hapa ili twende sawa 1451070228811.jpg usijidanganye kuwa eti wewe hutataka kuwekewa hizo ni ndoto za alinacha 1451070326513.jpg Si mdogo si mkubwa si tajiri wala maskini wenye nguvu na wanyonge woote hawachomoki 1451070414938.jpg Kwa sasa ni rahisi mno kujivunia utamaduni wako au utaifa wako au dini yako, lakini Rafiki umeshachelewa 1451070519005.jpg hatutakuwa na uchaguzi tena uhuru wa kujiamulia kutenda bila kuingiliwa na yoyote 1451070596596.jpg
Haya mambo yalianza miaka mingi lakini ikiwa ni siri kubwa kwa wale waliyoyaleta taratibu tukaletewa password halafu zikafuata fingerprints mwishowe wakaja na scanner... Tumeshawekwa vizuri na baadhi yetu tayari wameshawekewa hivi Vitu bila kupenda wa kujua
Madhara yake ni Makubwa sana utakufa bila hata kupigwa risasi, unatumiwa tu virus kwenye chip yako unakauka
Magaidi na watu wabaya hawako nyuma watatumia microchips zisizothibitishwa kufanya yao
Vita ijayo Itakuwa mbaya kuliko vita nyingine yoyote vita ya human microchips wars.... Tutaimaliza dunia kwa mikono yetu wenyewe
 
nimesoma mixer lite zimekata kuna ukweli au ni mambo za hollywood

Sijaelewa chochote hapo, ila natafta muda Nina uzi kuhusu wewe

Yani iko hivi microchip ni mbadala wa ATM card scanner, passwords nk... Kila kitu chako kitaunganishwa kwenye hiyo chip ambayo utawekewa mwilini mwako
Kwahiyo popote uendapo au Chochote ufanyacho serikali Itakuwa inakumonitor
Hakutakuwa na kadi za bima ya afya vitambulisho vya taifa passport kadi za chanjo bali ni kachip kadogo tu kalikofungwa mwilini mwako katakuwa na habari zako zote
 
Bora ianze kufanya kazi mapema ni vyema tukapunguza watu kwa kasi ya ajabu tuweze kamilisha malengo yatu ya new world order hapa hamchomoki 666
 
Kiruu tumekwisha moja Obama kasha I sign hii marekani. Kweli yaliyoandikwa kwenye ufunuo wa Yohana yanatia kitaratibu aise.

mshana jr Hii ndio alama ya mnyama?

1451074821412.jpg 1451074844073.jpg wanavyodanganyana na kudanganya ili wawapate wengi zaidi 1451074930649.jpg soma chini kabisa ujue ilipo
Hapa ndio Ile new world order itakapofanya kazi kisawasawa
-Utawala mmoja
-currency moja
-dini moja
-jeshi moja nk
 
Last edited by a moderator:
Mkuu nasupport sana juhudi zako za kujielimisha juu ya haya mambo ya new world order na end times lakini kuwa makini sana na huyo jamaa wa Infowars bwana alex jones kwani inawezekana hayuko upande wetu kama anavyodai.he is likely to be an agent of the powers that be, used to desiminate wrong info,instill fear and panic among the populus and make the truth seeker movement look bad ,ukitaka kuamini hili we chunguza nyendo zako,see how well funded he is najinsi anavyojitangaza,ametengeneza kama franchise fulani hivi,angalia kwa makani interview zake kubwa alizo fanya kwenye mainstream news channels kama CNN na kadhalika utagundua kitu.if he was for real wangekuwa washamuua kitambo
 
Haya mambo ya mafreemason kuna yenye ukweli na mengine wanataka tu watu waamini hivyo watakavyo,hivyo kuweni makini.
 
Mshana hiyo techonojia inaweza kuja Africa karne ya 24 na sio sasa.hatujaweza kuwa na maji salama ya kunywa, umeme wa kuaminika unazungungumzia macrochip? hata hao wazungu wenyewe sio leo wala kesho ni jambo linafanyiwa utafiti tu, wenzetu wanaweza ikifika 22nd century
 
Haya mambo msiyachukulie kujuujuu ndio ukweli wenyewe huo ,sasa hivi dunia inakokwenda huko na hii habari MshanaJnr kaileta huko ndiko tuendako,hata hizi smartphone ndo muendelezo huo huo wa hizo vitu..ni taraatibuu lakini ndo huko huko destination,Rais wa kwanza wa Tanganyika JKN alishawahi sema wakati nyie huko Africa mnatembea wenzenu wanakimbia kwa kasi ya ajabu baadae mtasikia wameanza kuhamia mars ili waachie dunia yenu..kalaghabaho!!!!
 
Labda kizazi kijacho

Haya mambo ya mafreemason kuna yenye ukweli na mengine wanataka tu watu waamini hivyo watakavyo,hivyo kuweni makini.

Mshana hiyo techonojia inaweza kuja Africa karne ya 24 na sio sasa.hatujaweza kuwa na maji salama ya kunywa, umeme wa kuaminika unazungungumzia macrochip? hata hao wazungu wenyewe sio leo wala kesho ni jambo linafanyiwa utafiti tu, wenzetu wanaweza ikifika 22nd century

Hili si jambo la leo wala kesho nakubaliana kabisa na nyie, lakini kwa maendeleo haya ya tech ni jambo linalokuja kwa kasi mno..... We are almost there
Tuwe na tafakuri ya karibu zaidi, wale wanaosafiri nje ya nchi na wale wanaoingiaga yale majengo yanayolindwa sana wanaweza kukubaliana nami kuwa zile laser scanner sidhani kama zinatuacha salama
Kama mtu ana uwezo wa kukutumia virus au tracking devices na wakakuua muda unapofika basi jua kuwa hata hili halipo mbali
Viongozi wengi wa Hamas wameuawa kwa njia hii, na wale wengine wanaopingana na sera za marekani na uingereza mmeona vifo vyao au magonjwa yao? Cancer. Nyerere, Hugo Chaves, Yousef? Yule wa Argentina, Yasser Arafat na wengine wengi.. Mugabe wamemkosakosa.... Wale waliokwepa mitego yao ya siri walitafutiwa sababu wakawamaliza kupitia vita... Saddam hussein, Gaddafi na sasa Assad
Ni kwasababu tu hatuchimbui mambo lakini hizi ishu zilianza baada ya vita ya pili ya dunia, Askari wa Vietnam walifanyiwa kitu kinachofanana na hiki, kwahiyo leo hii wamarekani wanapofika kulitoa hili hadharani hawapo kwenye level hii tena...
 
Mkuu nasupport sana juhudi zako za kujielimisha juu ya haya mambo ya new world order na end times lakini kuwa makini sana na huyo jamaa wa Infowars bwana alex jones kwani inawezekana hayuko upande wetu kama anavyodai.he is likely to be an agent of the powers that be, used to desiminate wrong info,instill fear and panic among the populus and make the truth seeker movement look bad ,ukitaka kuamini hili we chunguza nyendo zako,see how well funded he is najinsi anavyojitangaza,ametengeneza kama franchise fulani hivi,angalia kwa makani interview zake kubwa alizo fanya kwenye mainstream news channels kama CNN na kadhalika utagundua kitu.if he was for real wangekuwa washamuua kitambo

Kuna kitu kinaitwa 'classified information' kwa wamarekani, huku tunaita siri, lakini kwao wanakwambia hakuna siri bali kuna habari fulani kwa kundi fulani la watu kwa kipindi fulani.... Kikishapita hicho kipindi hata ikitoka nje inakuwa haina madhara tena, ndio maana bwana Alex Jones anatamba tu huku yule Assanger wa weakleaks akiishi mafichoni
Na wakishaona hiki kitu acha sasa kijulikane Ulimwengu kote hutafuta hata mavuvuzela wa kutisha tena vibaya, wanaamini kuwa kitu kikisemwa negatively huenea kwa haraka kuliko kikisemwa vizuri hivyo hii ni michezo yao tuu
 
kuokoka ndo mpango mzima.wewe UNA's had a did "kupunguza idadi ya watu ili kutengeneza NWO jehanam inakuhusu
 
Back
Top Bottom