Human microchips analysis

Human microchips analysis

kuokoka ndo mpango mzima.wewe UNA's had a did "kupunguza idadi ya watu ili kutengeneza NWO jehanam inakuhusu
mama esta kuna mahali hujaelewa yani hiyo kitu Itakuwa mbadala wa password na ATM card na Chochote utakachofanya ni kama ilivyo leo hii hatutumii tena zile kadi zetu na vitambulisho vyetu vya kuandika kwa mkono kila kitu ni digital 1451107965993.jpg haka kadude ndio utawekewa mwilini mwako
Unapingana na hili wakati hata kitambulisho cha kura ulikipata kwa kufanyiwa vitu usivyovijua??? Biometric.....
 
Last edited by a moderator:
Acheni mastory yenu ya ajabu ajabua. Free masoni na kanumba na diamondi. Mnaa aminisha watu kuwa diamond ni free masrin. Kanumba kauwawa na free marsono, hizi stori mpe shigongo atauza sana.
Ukweli haya mambo yapo toka zamani hata mpinga kristo yupo toka zamani.
Hii micro chip ilianza kutumika mwaka jana au ealier mwanzoni mwa mwaka huu ila sio lazima ni kwa anayetaka, na sio nchi zote.
Sidhani kama ni kitu cha kukuogopesha wewe. Na kuanza kuamini conspiracy theory za ajabu ajabu. Fanya kazi.
 
Acheni mastory yenu ya ajabu ajabua. Free masoni na kanumba na diamondi. Mnaa aminisha watu kuwa diamond ni free masrin. Kanumba kauwawa na free marsono, hizi stori mpe shigongo atauza sana.
Ukweli haya mambo yapo toka zamani hata mpinga kristo yupo toka zamani.
Hii micro chip ilianza kutumika mwaka jana au ealier mwanzoni mwa mwaka huu ila sio lazima ni kwa anayetaka, na sio nchi zote.
Sidhani kama ni kitu cha kukuogopesha wewe. Na kuanza kuamini conspiracy theory za ajabu ajabu. Fanya kazi.

1451108971867.jpg
 
Hebu twende taratibu hapa, huu mpango wa microchips ulianza zamani baada ya mataifa makubwa kuona watu wanaingilia biashara zao za unga na ujangili kuzidi kwa kasi ikabidi wajiongeze.

Ili mpango wa microchips ufanikiwe utawashawishi wananchi vipi wakuelewe.

Ndipo wakaanza mikakati ya kuiba watoto wadogo kwa kasi na wengine kuwauwa na hata kuwabaka, hao ni miaka chini ya kumi. Ndipo wananchi wakalalamika sana na serikali ikasema kwa sababu watoto wanaibiwa itabidi pindi wanapozaliwa tuwawekee chip ili tuweze kuwaona pindi wanapoibiwa ( hapo patamu)

Hiyo wananchi wakaishtukia kwani utakuwa na uchungu tu mwanao anapoibiwa au kuuwawa lakini mwanao kuzaliwa tu na chip kwenye mwili, wananchi wakagoma ingawa kuna sindano za kinga pindi mtoto anapozaliwa kwa hiyo ikawa wanachomekea bila mtu kujua.

Mpango mkubwa ni kwamba kama ukiwa drug dealer au arm dealer au crook kwa lolote wanakufatilia tabia zako unatoka wapi unaenda wapi hata kama umesafiri kuendea mzigo utasubiriwa home wala sio airport hiyo itawasaidia polisi kukufatilia kila mda bali watakuwa wanacheza na mitandao tu.

Kama tabia ya mtoto itabadilika ukubwani na kuwa mwizi, gaidi au dealer huyo atafuatiliwa tu
Kwa waafrika naona watoto wa wakubwa watawekewa so they can be monitored. Lakini sisi walala hoi tutatesa tu maana kila wakiangalia tunakula mihogo tu
 
Mshana Jr,waambie wale wanobisha habari hizi za ILLUMINATI kwamba hata chanj...! wanazowapa watoto wao nazo zimeshafanyiwa 'utundu' na hawa jamaa. That means silence killings!
 
Mshana Jr,waambie wale wanobisha habari hizi za ILLUMINATI kwamba hata chanj...! wanazowapa watoto wao nazo zimeshafanyiwa 'utundu' na hawa jamaa. That means silence killings!

Ngoja twende nao taratibu wataelewa tu
 
Nasikitika wakati huo utakapofika JPM atakuwa kashalikosa hilo jipu sasa sijui nani atalitumbua.
 
mama esta kuna mahali hujaelewa yani hiyo kitu Itakuwa mbadala wa password na ATM card na Chochote utakachofanya ni kama ilivyo leo hii hatutumii tena zile kadi zetu na vitambulisho vyetu vya kuandika kwa mkono kila kitu ni digital View attachment 313002haka kadude ndio utawekewa mwilini mwako
Unapingana na hili wakati hata kitambulisho cha kura ulikipata kwa kufanyiwa vitu usivyovijua??? Biometric.....
Eti hako kadude ndiko kamekuwa coded kwenye Biblia kama 666!
 
Eti hako kadude ndiko kamekuwa coded kwenye Biblia kama 666!

Unakadharau?....Unajua wakina Mama kwenye mambo yao ya uzazi wa Mpango kuna ile wanaita viJITI wanachimbia kwenye Mkono na Mama hapati kitumbo...!! sasa wee unakidharau hicho
 
Khaa!! Profesa mshana jr,
Wakati wao wanahangaika kujenga huo mfumo wengine wanahangaika namna ya kuubomoa kwa njia bora zaidi. Ni fursa. Ajira zinaongezeka 😎
 
Khaa!! Profesa mshana jr,
Wakati wao wanahangaika kujenga huo mfumo wengine wanahangaika namna ya kuubomoa kwa njia bora zaidi. Ni fursa. Ajira zinaongezeka 😎
Rohombaya ni mfumo utakaokuja kukiumiza sana kizazi kijacho mimi na wewe hatutakuwepo
 
Last edited by a moderator:
Mimi kazi yangu itakuwa kuflash hivo vi chip na ku program. Ukiwa fisadi nakutupia malware.

Una hack microchip ya #mshana jr alafu unampeleka unavyotaka wewe... leo aumwe kichwa, kesho, mafua, muda huu alie tu bila sababu, ajambe jambe ghafla tu..
 
Mshana hiyo techonojia inaweza kuja Africa karne ya 24 na sio sasa.hatujaweza kuwa na maji salama ya kunywa, umeme wa kuaminika unazungungumzia macrochip? hata hao wazungu wenyewe sio leo wala kesho ni jambo linafanyiwa utafiti tu, wenzetu wanaweza ikifika 22nd century

Mkuu karne ya 24 mbali sana kwa muono wangu kumbuka teknolojia tayari ipo longtime ni suala la muda kidogo kwa mfano Tz kwa sasa kuna zoezi la vitambulisho vya uraia, kwa sasa kuna tulio wengi tuko kwenye paperless currency kwa maana ya kwamba unapata salary iliyolipwa online kwa internet banking, unanunua mafuta ya gari lako kwa fuel kadi, unaenda supermarket unalipa kwa Visa/Mastercard so kidogokidogo uchumi wetu unaanza kutokuwa na pesa kwa maana ya makaratasi soon mifumo ya tehama ya kibenki, mifuko ya hifadhi ya jamii, hospital vitambulisho vya taifa, umiliki wa ardhi, driving licence itakuwa centralized na kuna uwezekano mkubwa hii kwa nchi zisizo na uwezo zikapewa msaada (kupitia UN bodies) ili ziweze kuwa na centralized database ambayo ina information za watu wote! So si muda mrefu watakuja na vichip vyao ambazo vipo linked na central database!

Mbona kuna familia za kitajiri ambazo tayari watu wake wamekewa hizo chip kwa maana ya kwamba hata ukiwateka itajulikana wako wapi na hii ni hasahasa amerika ya kusini.

Na hata wanyama wengi ulaya na marekani wamewekewa hizi!

Actually kwa uelewa wangu, microchip hizo ni kama tu chip za simu i.e. unayo chipu ya simu ambayo iko linked na service provider Voda, Tigo nk then unapata mawasiliano, ila hizi ni chip ndogo sana ambazo zinapandikizwa mwili mwa binadamu na ambazo kwa habari zilizopo sehemu nzuri ambapo kwenye mwili zitakaa hizo chip ni kwenye paji la uso au mkononi kiganjani! Inshort kila kitu kipo tayari na utekelezaji ulishaanza na unaendelea kwa kasi sana ila kwa wengine hawajui kitu wao wakiona matigo pesa, vitambulisho vya taifa, mkongo wa taifa na mengine meengi wanatazama upande mmoja tu na shetani naye anapita hapohapo kama ambavyo Mungu kaumba mahindi na tunakula ugali, shetani amemcorrupt mwanadamu anatengeneza pombe! ngoja niishie hapa.
 
Bado watu wanaamini hizi fairy tales smh!!
 
Mkuu karne ya 24 mbali sana kwa muono wangu kumbuka teknolojia tayari ipo longtime ni suala la muda kidogo kwa mfano Tz kwa sasa kuna zoezi la vitambulisho vya uraia, kwa sasa kuna tulio wengi tuko kwenye paperless currency kwa maana ya kwamba unapata salary iliyolipwa online kwa internet banking, unanunua mafuta ya gari lako kwa fuel kadi, unaenda supermarket unalipa kwa Visa/Mastercard so kidogokidogo uchumi wetu unaanza kutokuwa na pesa kwa maana ya makaratasi soon mifumo ya tehama ya kibenki, mifuko ya hifadhi ya jamii, hospital vitambulisho vya taifa, umiliki wa ardhi, driving licence itakuwa centralized na kuna uwezekano mkubwa hii kwa nchi zisizo na uwezo zikapewa msaada (kupitia UN bodies) ili ziweze kuwa na centralized database ambayo ina information za watu wote! So si muda mrefu watakuja na vichip vyao ambazo vipo linked na central database!

Mbona kuna familia za kitajiri ambazo tayari watu wake wamekewa hizo chip kwa maana ya kwamba hata ukiwateka itajulikana wako wapi na hii ni hasahasa amerika ya kusini.

Na hata wanyama wengi ulaya na marekani wamewekewa hizi!

Actually kwa uelewa wangu, microchip hizo ni kama tu chip za simu i.e. unayo chipu ya simu ambayo iko linked na service provider Voda, Tigo nk then unapata mawasiliano, ila hizi ni chip ndogo sana ambazo zinapandikizwa mwili mwa binadamu na ambazo kwa habari zilizopo sehemu nzuri ambapo kwenye mwili zitakaa hizo chip ni kwenye paji la uso au mkononi kiganjani! Inshort kila kitu kipo tayari na utekelezaji ulishaanza na unaendelea kwa kasi sana ila kwa wengine hawajui kitu wao wakiona matigo pesa, vitambulisho vya taifa, mkongo wa taifa na mengine meengi wanatazama upande mmoja tu na shetani naye anapita hapohapo kama ambavyo Mungu kaumba mahindi na tunakula ugali, shetani amemcorrupt mwanadamu anatengeneza pombe! ngoja niishie hapa.

Asante sana salari kwa msaada wenye Ufafanuzi wa kina
 
Last edited by a moderator:
Kiruu tumekwisha moja Obama kasha I sign hii marekani. Kweli yaliyoandikwa kwenye ufunuo wa Yohana yanatia kitaratibu aise.

Ni kweli. Zamani wakati nakua nilikua najiuliza itawezekanaje suala la kutumia ATM Card lakini leo limetimia. Nakumbuka mwaka 1989 nilikua naelezwa haya na mama yangu, kuwa ni habari zimeandikwa ktk vitabu vya dini. Sikumuelewa wala kumuamini hata kidogo.
 
Back
Top Bottom