hakuna hukumu yoyote ambayo mtu anaweza kutudokeza inayohusisha serikali kwenye mahakama ya rufani au kuu ambayo tunaweza kusema kuwa mahakama ili bow to the pressure of the gvt.. kuanzia kesi za wahujumu uchumi, valambhia, uhaini n.k mahakama zetu za juu zimekuwa huru mara zote. Tatizo liko kwa serikali kutekeleza hukumu hizo.
Kuna kesi moja ya uchaguzi........nakumbuka kuna mgombea either alipinga uchanguzi usifanyike au alikata rufaa kuhusu matokeo.......na maamuzi yakawa eti kw akuwa serikali ime-spend pesa nyingi hivyo haitakuwa busara............well i'm still looking for the record......nikiipata nitaiweka hapa...........yaani mahakama iliboa kichizi