Hukumu ya Mgombea Binafsi Juni 17, 2010

Naamini Jaji Mkuu hatawaangusha watanzania! Yeye pia anajua madhara ya kutoa hukumu ya 'hovyo hovyo' kwenye suala hili. Wagombea binafsi 'on your marks', 'get ready'......!!!

Mkuu mimi naomba sana hukumu ya mahakama ya rufaa iwe kama iliyotolewa na mahakama kuu, hii itaongeza changamoto katika uchaguzi ujao na kuwatia kiwewe CCM. Kama Serikali ikishindwa sijui wataibuka na kipi tena ili kutoruhusu wagombea binafsi katika uchaguzi wa mwaka huu.
 
Alhamisi ni siku ambayo itakumbukwa katika historia ya Tanzania kwa mambo mawili:

1. Tanzania tuna Mahakama huru yenye kulinda maslahi ya nchi na watu wake

2. Ama kinyume chake

Wito kwa Chief Justice Ramadhani

Do what is right and do it right!

JK hawezi kukutimua! Hana mamlaka hayo kikatiba.

Mwisho: Kesho kutwa itakuwa siku ambayo watanzania wataihukumu makama ya rufaa.

Hukumu hiyo tuisubiri

Thomas


Hana cha kupoteza,December mwaka huu anastaafu!
 
Verdict on independent candidates out Thursday

By Bernard James
THE CITIZEN

A ruling on whether or not independent candidates should be allowed to contest for electoral posts in Tanzania will be made on Thursday.

Chief Justice Augustino Ramadhani is expected to lead a panel of seven judges to make the historic decision, The Citizen has reliably learnt.


The full bench will deliver the eagerly awaited verdict that could change Tanzania's political landscape with only four months remaining before the country's General Election slated for October.

There is no doubt that whatever decision is pronounced by the Court of Appeal will set a landmark precedent on Tanzanian citizens' participation in the country's public affairs. It is also likely to have a resounding effect on the rest of the five East African Community (EAC) member states that are yet to confront a similar political challenge.

The verdict of the High Court will further answer the question as to whether or not it has powers to declare invalid the provision of the constitution as it did when allowing independent candidates in elections 16 years ago.

Individuals seeking to participate in public affairs, but not through political parties, are keenly waiting to hear what the court will decide after ten years of apparent government's attempts to block independent candidates.

The push for independent candidates was initiated 16 years ago when the outspoken leader of Democratic Party (DP), Reverend Christopher Mtikila, filed a constitutional petition to enforce his basic right to participate in public affairs without being forced to join a political party.

In October 1994 Justice Kahwa Rugakingira declared unconstitutional provisions of the constitution restricting independent candidates in a decision that appeared to have dealt a serious blow on the government which quickly resorted to desperate attempts to block independent candidates.

He was of the firm view that amendments were capable of being abused to confine the right of governing to a few and render illusory the emergence of a truly democratic society in Tanzania.

The Attorney General appealed against the decision, but made a u-turn to abandon the appeal. He then rushed a bill through parliament that saw some articles of the constitution amended to make it mandatory for any Tanzanian wishing to contest for the presidency or as an MP to first join a political party.

Aggrieved Mtikila challenged the amendments in the High Court and again won. But the government went to the Court of Appeal to challenge the verdict on the ground that the making of laws was the preserve of parliament.

The government also wanted the Court of Appeal to determine whether the High Court, itself a creation of the constitution, has powers to rule over the same constitution.

At the hearing of the appeal, a renowned constitutional lawyer, Professor Palamagamba Kabudi and a prominent public law professor Jwani Mwaikusa were called as amicus curiae (friends of the court) to assist the court arrive at a just and unshaken decision.

The two, together with the Zanzibar Director of Public Prosecution, Mr Othman Masoud, were asked to assist the court determine whether the High Court, itself the creation of the constitution, has powers to declare invalid any provision of the constitution.

Professor Kabudi, who teaches at the University of Dar es Salaam's School of Law, strongly defended his position that the court did not have powers to declare unconstitutional amendments made to the constitution.

Said he: "The general rule is that the court has no powers to declare as invalid a provision in the constitution, but there are exceptions which must be narrowly interpreted in a stricter manner because the constitution is the supreme law of the country."

His views, however, sharply differed with those of his colleague, Professor Mwaikusa, who maintained that the High Court had the jurisdiction to declare invalid any provision of the constitution as provided under article 108 of the same constitution.

The long serving public law Professor told the panel that powers of the High Court were unlimited when it came to safeguarding and protecting basic rights of a citizen.
He said it would be contradictory for the constitution to take away the powers of the court to protect basic rights.


"Precluding the court from protecting that right is to abrogate that right. No constitution can take away basic right and yet remain valid in a democratic society," he argued.
According to professor Mwaikusa, basic rights which formed the basis of Mtikila's petition were not gifts from the state and were not creatures of the constitution.

The director of elections with the National Electoral Commission (NEC), Mr Rajabu Kiravu, ruled out the possibility of having independent candidates in this year's General Election when he was called to tell the court how prepared the electoral body was if the judges were to rule in favour of independent candidates.

He told the court that major preparations on the election were made without regard to independent candidates and that any order of the court for it to fit in solo candidates would frustrate the General Election.

 
Nina imani na mahakama kuu ya rufani Tanzania!

Hatima ya kesi hii ni ama mahakama iwape watanzania haki yao au mahakama fasiri vema sheria mbovu inayowanyima wananchi haki zao, iwanyeme haki! Tuombe Mungu watupe haki yetu!


Imani na mahakama? mahakama ni majaji na majaji wengi wamechaguliwa na JK kuelekea uchaguzi huu unaokuja sasa hapo unategemea nini upande bange uvune ngano? Unaona kabisa timu ya ushindi imetayarishwa bado unamatumaini ya roho ya binaadamu au ya paka? karaga baho na ubozi wako
 
Imani na mahakama? mahakama ni majaji na majaji wengi wamechaguliwa na JK kuelekea uchaguzi huu unaokuja sasa hapo unategemea nini upande bange uvune ngano? Unaona kabisa timu ya ushindi imetayarishwa bado unamatumaini ya roho ya binaadamu au ya paka? karaga baho na ubozi wako

Very true mkuu;

with the current system, we wont see much improvement towards a fair and competitive democracy... tusijidanganye. all vital entities to our country's justice and governance system haziko independent; our legal system has been politicized for years [since enzi za mwalimu]. Just sit with judges wakiwa wanajadili hukumu; asilimia kubwa na mazungumzo utasikia... "ah bwana siasa hizo bwana" au ah jamaa wamembania tu sababu ya mambo fulani lakini he was not guilty" au jamaa si kapewa hukumu in his favor si unajua tena mambo ya wakubwa"???

this is our modus operandi and i dont expect much changes as longs as our system iko hivi... hatuna current katiba, no updated governance system and many things and roles are really individualized

nevertheless, naishi kwa matumaini ya fisi... kwamba mkono labda utaanguka one day na changes za kweli kuwepo ndani ya nchi yetu tukufu
 
Alhamisi ni siku ambayo itakumbukwa katika historia ya Tanzania kwa mambo mawili:

1. Tanzania tuna Mahakama huru yenye kulinda maslahi ya nchi na watu wake

2. Ama kinyume chake

Wito kwa Chief Justice Ramadhani

Do what is right and do it right!

JK hawezi kukutimua! Hana mamlaka hayo kikatiba.

Mwisho: Kesho kutwa itakuwa siku ambayo watanzania wataihukumu makama ya rufaa.

Hukumu hiyo tuisubiri

Thomas

Mkuu kwa kukujibu tu pale kwenye red; lakini anao uwezo wa kumfrastrate katika administratio issues.
Kubana bajeti nk.
 
After reading this article from the citizen I am really worried of the forecoming judgement, I don't know but I have this feeling that the court will judge in favor of the govenment. I am really worried becuase my intuition has never failed me!
 
Kilembwe, nakubaliana kabisa na wasiwasi wako na sijui kama Mahakama ya rufaa iliomba more details in regards to this argument "major preparations on the election were made without regard to independent candidates and that any order of the court for it to fit in solo candidates would frustrate the General Election." by the Director of NEC, Mr Kiravu.
 
I for one, sina shaka kabisa na uhuru wa mahakama zetu za juu. Tangu enzi za Nyerere Mahakama Kuu na Mahakama ya Rufaa imekuwa huru kutoa maamuzi yake pasipo kujali mtawala ni nani. Tatizo lililopo na ambalo limejirudia sana baada ya Mwinyi ni utayari wa serikali kuitii mahakama. Naamini swali kubwa litakuwa ni je wagombea waruhusiwe mwaka huu? Hoja za kisheria ambazo zimeulizwa hakuna iliyo mpya kabisa kwani karibu nchi nyingi za kidemokrasia zimeshajibu maswali yote mawili.

So.. wakati wenzangu mnasubiri kuona kama mahakama zetu ziko huru kweli, mwenzenu nasubiri kusherehekea uhuru wa mahakama ambao najua upo. So join me!!!
 
I for one, sina shaka kabisa na uhuru wa mahakama zetu za juu. Tangu enzi za Nyerere Mahakama Kuu na Mahakama ya Rufaa imekuwa huru kutoa maamuzi yake pasipo kujali mtawala ni nani. Tatizo lililopo na ambalo limejirudia sana baada ya Mwinyi ni utayari wa serikali kuitii mahakama. Naamini swali kubwa litakuwa ni je wagombea waruhusiwe mwaka huu? Hoja za kisheria ambazo zimeulizwa hakuna iliyo mpya kabisa kwani karibu nchi nyingi za kidemokrasia zimeshajibu maswali yote mawili.

So.. wakati wenzangu mnasubiri kuona kama mahakama zetu ziko huru kweli, mwenzenu nasubiri kusherehekea uhuru wa mahakama ambao najua upo. So join me!!!

Ngoja tusubiri Mkjj tuone kama mahakama zetu ziko huru kiasi hicho na kama uamuzi utafanana na ule wa mahakama kuu basi hakuna sababu yoyote ile ya maana kusubiri hadi 2015 ili kuruhusu ushiriki wa wagombea binafsi katika chaguzi zetu.
 
I predict mahakama ya Rufaa will blast your government in words that will remain in infamy!

Agree, this is the only opportunity for Appeal court not only to be impartial but to be seen by Public that it is impartial and free from political theatre and power mongers' influence. Anything against upholding the high court decision will paralyse our democracy and aleviate the public trust on Tanzania's legal system.
 
hakuna hukumu yoyote ambayo mtu anaweza kutudokeza inayohusisha serikali kwenye mahakama ya rufani au kuu ambayo tunaweza kusema kuwa mahakama ili bow to the pressure of the gvt.. kuanzia kesi za wahujumu uchumi, valambhia, uhaini n.k mahakama zetu za juu zimekuwa huru mara zote. Tatizo liko kwa serikali kutekeleza hukumu hizo.
 
I predict mahakama ya Rufaa will blast your government in words that will remain in infamy!

And what good will come out of that. Mwanakijiji you seem to underestimate to what extent this CCM government will go to protect what it not only claims but believes to be its absolute right to stay in power ! The Mahakama ya Rufaa ya Tanzania turns into a toothless bulldog every time maslahi ya chama yanapoguswa na kutishiwa na huo ndio ukweli. Nakumbuka CCM ilivyojitwalia mali zilizochumwa na wananchi wote kabla ya vyama vingi na kuvihatamia kama vyake hadi leo hii. Nakumbuka mahakama zetu zilivyopata kigugumizi kuhusiana na hili swala lilipofikishwa kwao - huo ndio ukweli ! CCM itaiba, itaua, itashuhudia uwongo, itatoa rushwa na itavunja sheria zozote zile mradi inabakia madarakani, upo ?
 
And what good will come out of that. Mwanakijiji you seem to underestimate to what extent this CCM government will go to protect what it not only claims but believes to be its absolute right to stay in power ! The Mahakama ya Rufaa ya Tanzania turns into a toothless bulldog every time maslahi ya chama yanapoguswa na kutishiwa na huo ndio ukweli. Nakumbuka CCM ilivyojitwalia mali zilizochumwa na wananchi wote kabla ya vyama vingi na kuvihatamia kama vyake hadi leo hii. Nakumbuka mahakama zetu zilivyopata kigugumizi kuhusiana na hili swala lilipofikishwa kwao - huo ndio ukweli ! CCM itaiba, itaua, itashuhudia uwongo, itatoa rushwa na itavunja sheria zozote zile mradi inabakia madarakani, upo ?

Mag3.. mahakama za chini labda sikumbuki kesi hiyo kama imewahi kufika mahakama za Juu.
 
And what good will come out of that. Mwanakijiji you seem to underestimate to what extent this CCM government will go to protect what it not only claims but believes to be its absolute right to stay in power ! The Mahakama ya Rufaa ya Tanzania turns into a toothless bulldog every time maslahi ya chama yanapoguswa na kutishiwa na huo ndio ukweli. Nakumbuka CCM ilivyojitwalia mali zilizochumwa na wananchi wote kabla ya vyama vingi na kuvihatamia kama vyake hadi leo hii. Nakumbuka mahakama zetu zilivyopata kigugumizi kuhusiana na hili swala lilipofikishwa kwao - huo ndio ukweli ! CCM itaiba, itaua, itashuhudia uwongo, itatoa rushwa na itavunja sheria zozote zile mradi inabakia madarakani, upo ?
Na ndiyo maana kaulimbiu yao ya uchaguzi ni: USHINDI NI LAZIMA. Maana yake liwe liwalo lazima washinde. Ni kaulimbiu ya kibabe, kivitavita, kifedhuli na kimabavu. Wako tayarii kutumia kila aina njia: halali na zisizo halali ili ushindi utimie. Kazi ipo!
 
Nyie CCJ mnatabu kweli meshindwa kusajili chama saivi mnalilia mgombea binafsi?
Nani kasema nchi hii kuna utawala wa sheria....hakuna ....nchi hii kuna utawala wa CCM, sheria za CCM n.k...mtangoja milele mgombea binafsi.
 
Back
Top Bottom