Sina ujinga mi naelewa kwanini Mama Samia hakupigwa vita kwa sababu hakuwa akiunga mkono maovu ndio maana nashangaa Diamond ambaye nae hatukumuona kuunga mkono maovu et anapigwa vita kisa tu ukaribu wake na Mwandazake.
Hakuna ambae anampiga vita Diamond halafu hampigi vita Samia.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Nadhani kijana huyu atafungwa!!!ili ku balance kufungwa kwa Sabaya!!!watafanya hv ili kuua umaarufu wa CHADEMA utakaoibuka Mbeya na Tz kwa ujumla ikiwa ataachiwa Huru!!!Huu ni mpango ulioratibiwa mapema sana!!!kama Mama angekuwa na mpango wa kumweka huru kesi yake ingeshafutwa siku nyingi sana!!!!
 
Huna macho hadi uhitaji ushahidi katika maovu yaliyokuwa yanafanyika mchana kweupe na dunia nzima ikawa inalaani?Kuna maiti zilikuwa zinaokotwa mtu Ruvu na pembezoni mwa fukwe za bahari,kwa nini serikali hadi leo imeshindwa kutoa maelezo juu ya maiti zile au kukamata washukiwa?Wapinzani nchi nzima wanaozea jela kwa kesi za kubambikiwa halafu unadai ushahidi?

Kuna watanzania kwa maelfu wanaozea jela kwa kesi za kubambikiwa za kuhujumu uchumi na bado unadai ushahidi?Bunge limejaa wabunge ambao hawakuwahi kuchaguliwa na wananchi halafu unadai ushahidi?

Kayafa kwa kinywa chake aliwahi kutamka kwamba ole wao wakurugenzi ambao yeye anawapa posho na usafiri kisha watangaze wapinzani kisha wewe unadai ushahidi?Kayafa alikuwa anazunguka nchi nzima na kuwaambia wananchi kuwa kama watachagua upinzani hatapeleka maendeleo kisha wewe unadai ushahidi?Nikuwekee

Huna macho hadi uhitaji ushahidi katika maovu yaliyokuwa yanafanyika mchana kweupe na dunia nzima ikawa inalaani?Kuna maiti zilikuwa zinaokotwa mtu Ruvu na pembezoni mwa fukwe za bahari,kwa nini serikali hadi leo imeshindwa kutoa maelezo juu ya maiti zile au kukamata washukiwa?Wapinzani nchi nzima wanaozea jela kwa kesi za kubambikiwa halafu unadai ushahidi?

Kuna watanzania kwa maelfu wanaozea jela kwa kesi za kubambikiwa za kuhujumu uchumi na bado unadai ushahidi?Bunge limejaa wabunge ambao hawakuwahi kuchaguliwa na wananchi halafu unadai ushahidi?

Kayafa kwa kinywa chake aliwahi kutamka kwamba ole wao wakurugenzi ambao yeye anawapa posho na usafiri kisha watangaze wapinzani kisha wewe unadai ushahidi?Kayafa alikuwa anazunguka nchi nzima na kuwaambia wananchi kuwa kama watachagua upinzani hatapeleka maendeleo kisha wewe unadai ushahidi?Nikuwekee video?
Mimi nilitaka unambie mpinzani flani alibambikiwa kesi flani na ushahidi ya kwamba hakua na kosa utoe

Mtu flani alipewa kesi ya uhujumu uchumi, weka na ushahidi kwamba hakua na kosa

Zile maiti kule Beach pia weka ushahidi kwamba walikua ni raia wasio na hatia.
 
Haya Samia anapigiwa vita gani?
Samia hafai kuwa Rais kwa sababu ana laana za Kayafa za Kuua,kuteka,kutesa,kumbakizia watu wasio na hatia kesi,ukabila,ukanda,ubaguzi wa rangi,kuua uchumi na kadhalika.Haya maovu yote haya alikuwa anafanya yeye pamoja na Kayafa.
 
Mimi nilitaka unambie mpinzani flani alibambikiwa kesi flani na ushahidi ya kwamba hakua na kosa utoe

Mtu flani alipewa kesi ya uhujumu uchumi, weka na ushahidi kwamba hakua na kosa

Zile maiti kule Beach pia weka ushahidi kwamba walikua ni raia wasio na hatia.
HV wewe unafaa kuwepo huku kweli maana navojua huku wapo watu wenye fikra kubwa sasa kma hujui wanachadema waliofunguliwa mashitaka na kuachiwa baada ya kukosekana ushahidi wewe ni great thinker kweli yaani umeshindwa hata kufanya hata utafiti kidogo kabla ya kukomment au hata mh rais aliposema kuna baadhi ya watu wafanyabiashara na wanasiasa wamebambikiwa kesi akaomba Dpp azifute ulifikili yy hakua unajua hilo nadhani umenielewa ukiendelea kubisha ntakuja nikupe idadi ya wanachama walioachiliwa na mahakama kwa majina na wapi kwa kua walikua wameshitakiwa kwa makosa ya uongo hapo sasa tutajua wewe ni great thinker au ww ni kilaza
 
Samia hafai kuwa Rais kwa sababu ana laana za Kayafa za Kuua,kuteka,kutesa,kumbakizia watu wasio na hatia kesi,ukabila,ukanda,ubaguzi wa rangi,kuua uchumi na kadhalika.Haya maovu yote haya alikuwa anafanya yeye pamoja na Kayafa.
Sasa mbona hapigwi vita ila vita kaenda kupigwa Diamond ambaye ni msanii tu?
 
Huku kwetu wasanii wanapigwa vita kisa wamechagua kuwa chama tawala wanalazimishwa kuwa wanaharakati, wale wenzetu tunatofautiana kwa vingi sana.
Kuna tofauti ya mwanaharakati na kioo cha jamii. Ukishakuwa kioo cha jamii, influence yako inakuwa kubwa sana. Mambo unayoyafanya yanagusa wengi sana, either utake au usitake. Siungi mkono kumpiga vita Diamond, ila ukweli ni kwamba Diamond alikosea sana kusimama na Magufuli, kufumbia macho yaliyokuwa yakiendelea na kuiacha jamii yake.
 
Samia hafai kuwa Rais kwa sababu ana laana za Kayafa za Kuua,kuteka,kutesa,kumbakizia watu wasio na hatia kesi,ukabila,ukanda,ubaguzi wa rangi,kuua uchumi na kadhalika.Haya maovu yote haya alikuwa anafanya yeye pamoja na Kayafa.
Najibu Kwa dini yako: Ushindwe na ulegeee mazimaaa
 
Sio kwamba sijui hayo, ila napinga kumlazimisha Diamond afikili kama unavyofikili wewe

Huenda wewe uliona Magufuli ni muuaji, mtu mbaya n.k, toa ushahidi wenye mashiko kuthibitisha hilo

Usizushe tu, then unataka kila mtu akuunge mkono

Magufuli alikua mkabila...toa vithibitisho

Aliua watu.. Thibitisha
Unataka uthibitishiwe wewe tena mtandaoni wewe umekua nani?.Sio kila kitu lazima ukipate wazi wazi kama unavyotaka kutuaminisha hapa mambo mengine tumia akili zako mwenyewe.
 
Nadhani kijana huyu atafungwa!!!ili ku balance kufungwa kwa Sabaya!!!watafanya hv ili kuua umaarufu wa CHADEMA utakaoibuka Mbeya na Tz kwa ujumla ikiwa ataachiwa Huru!!!Huu ni mpango ulioratibiwa mapema sana!!!kama Mama angekuwa na mpango wa kumweka huru kesi yake ingeshafutwa siku nyingi sana!!!!
Kwa hiyo hukumu bado?

Nilikua nasubiri kwa hamu zote.
 
Leo Juni 14,2021 ni siku ya Hukumu ya Mpaluka Nyagali Mdude (32) kwa jina maarufu Mdude CHADEMA.

Namuombea Mdude, Hakimu atakaye soma hukumu Mwenyezi Mungu ampe Hekima kama ya Mfalme Suleiman.

Awali Upande wa mashtaka umemuondolea kada wa chadema, mdude nyagali shtaka la uhujumu uchumi lililokuwa likimkabili na kumfungulia shtaka la jinai la kusafirisha dawa za kulevya.

Inadaiwa Mdude CHADEMA ambaye ni mkazi wa Itezi Jijini mbeya, kakamatwa na kushitakiwa kwa tuhuma za kupatikana na unga unaodhaniwakuwa ni dawa za kulevya aina ya heroine. kufuatia taarifa za kiintelijensia zilizopatikana, mtuhumiwa alikamatwa mnamo tarehe 10.05.2020 majira ya saa 17:00 jioni katika msako.

Mara baada ya kukamatwa kwa huyu mtuhumiwa, polisi walikwenda nyumbani kwake mtaa wa mwasote – itezi jijini mbeya kwa ajili ya kufanya upekuzi na katika upekuzi huo kulikutwa busta tano [05] za unga udhaniwao kuwa dawa za kulevya aina ya heroine wenye uzito wa gram 23.4 ambao ulikuwa umehifadhiwa kwenye mfuko wa kaki ambao ndani yake kulikuwa na mifuko midogo miwili ya nylon. Pia matumizi ya dawa za kulevya ni kinyume na sheria ya udhibiti, utumiaji na usafirishaji wa dawa za kulevya ya mwaka 2015 kama ilivyofanyiwa marekebisho mara kwa mara.

Zaidi, soma: Mbeya: Mpaluka Nyagali Mdude akamatwa na Heroin, apandishwa kizimbani akikabiliwa na mashtaka ya Uhujumu Uchumi

- Mbeya: Mahakama imeahirisha kusoma hukumu ya Mdude Nyagali hadi Juni 28, 2021

View attachment 1818127
View attachment 1818128
Yale yale ya Profesa wa USA kule Arusha. Walimuwekea pembe feki ili awape pesa.
Huyu kawekewa unga ili wamfunge.. Lala unapo stahili Magu
 
Unataka uthibitishiwe wewe tena mtandaoni wewe umekua nani?.Sio kila kitu lazima ukipate wazi wazi kama unavyotaka kutuaminisha hapa mambo mengine tumia akili zako mwenyewe.
Duh! kwahiyo huku ni sehemu ya kuzusha bila kuthibitisha, nikitaka uthibitisho inatakiwa niwe nani?
 
HV wewe unafaa kuwepo huku kweli maana navojua huku wapo watu wenye fikra kubwa sasa kma hujui wanachadema waliofunguliwa mashitaka na kuachiwa baada ya kukosekana ushahidi wewe ni great thinker kweli yaani umeshindwa hata kufanya hata utafiti kidogo kabla ya kukomment au hata mh rais aliposema kuna baadhi ya watu wafanyabiashara na wanasiasa wamebambikiwa kesi akaomba Dpp azifute ulifikili yy hakua unajua hilo nadhani umenielewa ukiendelea kubisha ntakuja nikupe idadi ya wanachama walioachiliwa na mahakama kwa majina na wapi kwa kua walikua wameshitakiwa kwa makosa ya uongo hapo sasa tutajua wewe ni great thinker au ww ni kilaza
Mkuu niite utakavyo, ninachotaka hapa ni vithibitisho.
 
Nadhani kijana huyu atafungwa!!!ili ku balance kufungwa kwa Sabaya!!!watafanya hv ili kuua umaarufu wa CHADEMA utakaoibuka Mbeya na Tz kwa ujumla ikiwa ataachiwa Huru!!!Huu ni mpango ulioratibiwa mapema sana!!!kama Mama angekuwa na mpango wa kumweka huru kesi yake ingeshafutwa siku nyingi sana!!!!
Unadhani unabet eti.
 
Back
Top Bottom