Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,901
- 95,404
Hakuna ambae anampiga vita Diamond halafu hampigi vita Samia.Sina ujinga mi naelewa kwanini Mama Samia hakupigwa vita kwa sababu hakuwa akiunga mkono maovu ndio maana nashangaa Diamond ambaye nae hatukumuona kuunga mkono maovu et anapigwa vita kisa tu ukaribu wake na Mwandazake.